Kwa jinsi 'Bwana fulani' alivyonuna Nchimbi kukosa Umakamu wa Rais, yawezekana madai ya Musiba yalikuwa na msingi

Absolutely, anaweza kuwa sehemu ya timu. Wanasema hata twitter walipo suspended account hii tulipokua tunakaribia uchaguzi 2020, Maria alimuandikia Jack Dorsey kuomba .....
 
Mk Mkuu kwani wewe umeandika kuhusu hayo mabilioni moderators wakaufuta uzi? Vp unampangia mtu cha kuandika hapa?
 
Labda informer wake ameondolewa maana nasikia wanafanya usafi nyumba nyeupe
Mama Samia hatakiwi kuamini mtu.

Magufuli crashed his enemies but he did not crash them once and for all, ila ameacha Watu mathubuti hasa Jeshini na Usalama, nina hakika uchafu wote utaondolewa alafu wataanza kuwafata wakubwa
 

naona team ya unaa mmeingia kazini[emoji38][emoji38][emoji38].

kule fb kuna mwanamama anaitwa veronica[emoji1787][emoji1787][emoji1787],kachafua hali ya hewa sio poa.
naona kaamua kuwa kamanda wa kike wa bi samia.

nikisoma hizi data zako na yale matamshi ya bi veronica,ndipo nakubali kabisa hawa vigogo2014,ni team msoga waliokosa ramani.
 
Ila nna uhakika anakukera...
Mpaka ukaamua kumchambua hivyo.
Sikuwahi kuona Kosa la Magufuli hasa kwenye kuiletea nchi maendeleo

Imagine nchi ilikuwa inachimba dhahabu inapeleka nje ichenjuliwe, wakati inaweza kuchenjuliwa hapa hapa bongo, na mtu haoni uzuri wa hili jambo...

Imagine mtu ameanzisha mradi wa umeme mkubwa sana, ila hataki anataka tuuziwe umeme wa gesi ambao haututoshi kwa gharama kubwa kabisa
 
Mkuu hii nchi sijui inashida gani swala la uzalendo ni dogo sana..
Hivi huyo dada fb anajiita veronica nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…