Uchaguzi 2020 Kwa jinsi Kigoma tulivyo kupokea Magufuli, inabidi kwenye maendeleo usitusahau baada ya kuapishwa

Uchaguzi 2020 Kwa jinsi Kigoma tulivyo kupokea Magufuli, inabidi kwenye maendeleo usitusahau baada ya kuapishwa

mzalendo iq1

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2020
Posts
1,257
Reaction score
1,543
Mh Rais John Joseph Pombe Magufuli natumaini mpaka sasa unashangaa jinsi Wana Kigoma tulivyo kukarim.

Sisi wana Kigoma tuna kero nyingi Sana Kigoma kwani kusema kweli Kigoma ni Mkoa ambao umesahaulika kwa kiasi katika baadhi ya maeneo mfano Kibiriz, Gungu, Katandala, Burega na maeneo mengine mengi Ila kero kubwa inayo sumbua sana sasa hivi Kigoma ni ya usafiri wa maji. Namaanisha meli now haifanyi kazi kitu ambacho kinapelekea wananchi kutumia boti za mbao ambazo ni hatari sababu zikipigwa na wimbi kali husababisha ajali.

Kama ulisikia ni juzi tu wamekufa watu zaidi ya 16 kwenye ajali ya boti.

Rais Magufuli, hamna mkoa uliokupokea mpaka sasa kama Kigoma, umekuja kutuomba kura ndio tutakupa ila please fanya na sisi tunachokuomba.

Tuboreshee bandari ya Kibiriz ili wafanyabiashara wa Tanzania waweze kupeleka bidhaa zao Congo na Burundi kwa urais na haraka.
 
Mh Rais John Joseph Pombe Magufuli natumaini mpaka sasa unashangaa jinsi Wana Kigoma tulivyo ku Karim.

Sisi wana Kigoma tuna kero nyingi Sana Kigoma kwani kusema kweli Kigoma ni Mkoa ambao umesahaulika kwa kiasi katika baadhi ya maeneo mfano Kibiriz, Gungu, Katandala, Burega na maeneo mengine mengi Ila kero kubwa inayo sumbua sana sasa hivi Kigoma ni ya usafiri wa maji. Namaanisha meli now haifanyi kazi kitu ambacho kinapelekea wananchi kutumia boti za mbao ambazo ni hatari sababu zikipigwa na wimbi kali husababisha ajali.

Kama ulisikia ni juzi tu wamekufa watu zaidi ya 16 kwenye ajali ya boti.

Rais Magufuli, hamna mkoa uliokupokea mpaka sasa kama Kigoma, umekuja kutuomba kura ndio tutakupa ila please fanya na sisi tunachokuomba.


Tuboreshee bandari ya Kibiriz ili wafanyabiashara wa Tanzania waweze kupeleka bidhaa zao Congo na Burundi kwa urais na haraka.
Mpaka amalize kujenga Chato kuwe kama Ulaya ndio atakuja Kigoma.
 
Mh Rais John Joseph Pombe Magufuli natumaini mpaka sasa unashangaa jinsi Wana Kigoma tulivyo kukarim.

Sisi wana Kigoma tuna kero nyingi Sana Kigoma kwani kusema kweli Kigoma ni Mkoa ambao umesahaulika kwa kiasi katika baadhi ya maeneo mfano Kibiriz, Gungu, Katandala, Burega na maeneo mengine mengi Ila kero kubwa inayo sumbua sana sasa hivi Kigoma ni ya usafiri wa maji. Namaanisha meli now haifanyi kazi kitu ambacho kinapelekea wananchi kutumia boti za mbao ambazo ni hatari sababu zikipigwa na wimbi kali husababisha ajali.

Kama ulisikia ni juzi tu wamekufa watu zaidi ya 16 kwenye ajali ya boti.

Rais Magufuli, hamna mkoa uliokupokea mpaka sasa kama Kigoma, umekuja kutuomba kura ndio tutakupa ila please fanya na sisi tunachokuomba.

Tuboreshee bandari ya Kibiriz ili wafanyabiashara wa Tanzania waweze kupeleka bidhaa zao Congo na Burundi kwa urais na haraka.
Subutuuuu
 
Mh Rais John Joseph Pombe Magufuli natumaini mpaka sasa unashangaa jinsi Wana Kigoma tulivyo kukarim.

Sisi wana Kigoma tuna kero nyingi Sana Kigoma kwani kusema kweli Kigoma ni Mkoa ambao umesahaulika kwa kiasi katika baadhi ya maeneo mfano Kibiriz, Gungu, Katandala, Burega na maeneo mengine mengi Ila kero kubwa inayo sumbua sana sasa hivi Kigoma ni ya usafiri wa maji. Namaanisha meli now haifanyi kazi kitu ambacho kinapelekea wananchi kutumia boti za mbao ambazo ni hatari sababu zikipigwa na wimbi kali husababisha ajali.

Kama ulisikia ni juzi tu wamekufa watu zaidi ya 16 kwenye ajali ya boti.

Rais Magufuli, hamna mkoa uliokupokea mpaka sasa kama Kigoma, umekuja kutuomba kura ndio tutakupa ila please fanya na sisi tunachokuomba.

Tuboreshee bandari ya Kibiriz ili wafanyabiashara wa Tanzania waweze kupeleka bidhaa zao Congo na Burundi kwa urais na haraka.
Sina hakika kama Kigoma Kuna mtu mwenye akili ndogo kama hii anayesubiria au anayedhani rais ndo anapeleka maendeleo sehemu badala ya yeye wenyewe na wananchi wote kwa ujumla wao.labda niulize,hivi zile fast ferry Dar to Zanzibar zinamilikiwa na serikali gani? Na kama huo usafiri wa majini huko ziwa tanganyika ni fursa ya biashara unadhani ni kitu gani kimezuia akina Bidyanguze kuwekeza hapo?
 
Mh Rais John Joseph Pombe Magufuli natumaini mpaka sasa unashangaa jinsi Wana Kigoma tulivyo kukarim.

Sisi wana Kigoma tuna kero nyingi Sana Kigoma kwani kusema kweli Kigoma ni Mkoa ambao umesahaulika kwa kiasi katika baadhi ya maeneo mfano Kibiriz, Gungu, Katandala, Burega na maeneo mengine mengi Ila kero kubwa inayo sumbua sana sasa hivi Kigoma ni ya usafiri wa maji. Namaanisha meli now haifanyi kazi kitu ambacho kinapelekea wananchi kutumia boti za mbao ambazo ni hatari sababu zikipigwa na wimbi kali husababisha ajali.

Kama ulisikia ni juzi tu wamekufa watu zaidi ya 16 kwenye ajali ya boti.

Rais Magufuli, hamna mkoa uliokupokea mpaka sasa kama Kigoma, umekuja kutuomba kura ndio tutakupa ila please fanya na sisi tunachokuomba.

Tuboreshee bandari ya Kibiriz ili wafanyabiashara wa Tanzania waweze kupeleka bidhaa zao Congo na Burundi kwa urais na haraka.
Kigoma hawana unafiki
 
hata Hashimu Rungwe akaambatana na kundi la wasanii mikutano yake pasingetosha...kutumia wasanii ni hadaa kuaminisha wajinga kwamba unakubalika sana, uzuri wengi hasa mijini wameanza kugundua hili!!!.
 
Mh Rais John Joseph Pombe Magufuli natumaini mpaka sasa unashangaa jinsi Wana Kigoma tulivyo kukarim.

Sisi wana Kigoma tuna kero nyingi Sana Kigoma kwani kusema kweli Kigoma ni Mkoa ambao umesahaulika kwa kiasi katika baadhi ya maeneo mfano Kibiriz, Gungu, Katandala, Burega na maeneo mengine mengi Ila kero kubwa inayo sumbua sana sasa hivi Kigoma ni ya usafiri wa maji. Namaanisha meli now haifanyi kazi kitu ambacho kinapelekea wananchi kutumia boti za mbao ambazo ni hatari sababu zikipigwa na wimbi kali husababisha ajali.

Kama ulisikia ni juzi tu wamekufa watu zaidi ya 16 kwenye ajali ya boti.

Rais Magufuli, hamna mkoa uliokupokea mpaka sasa kama Kigoma, umekuja kutuomba kura ndio tutakupa ila please fanya na sisi tunachokuomba.

Tuboreshee bandari ya Kibiriz ili wafanyabiashara wa Tanzania waweze kupeleka bidhaa zao Congo na Burundi kwa urais na haraka.
Kasema kuwa huwa hatoi ahadi hewa hivyo kwa kumrahisishia kazi ni nyinyi kutoingia chaka kwa kupigia kura wabunge wanaokwenda kutoka nje ya jengo wakati bajeti kuu ikiwa inasomwa na kujadiliwa.
 
Kila mwaka mnajaaga hivyo.. tatizo anajua nyingi ni vilaza..

Huko kasulu watu wanakunywa matope.. na kila mwaka wanachagua ccm..

Maendeleo siyo zawadi.. maendeleo ni haki yenu..

Ndio maana chadema inataka iwaletee utawala ambao kigoma mtachagua serikali ya mkoa na asilimia kubwa ya mapato ya kigoma yatabaki kigoma kwa maendeleo ya wanakigoma.
Mh Rais John Joseph Pombe Magufuli natumaini mpaka sasa unashangaa jinsi Wana Kigoma tulivyo kukarim.

Sisi wana Kigoma tuna kero nyingi Sana Kigoma kwani kusema kweli Kigoma ni Mkoa ambao umesahaulika kwa kiasi katika baadhi ya maeneo mfano Kibiriz, Gungu, Katandala, Burega na maeneo mengine mengi Ila kero kubwa inayo sumbua sana sasa hivi Kigoma ni ya usafiri wa maji. Namaanisha meli now haifanyi kazi kitu ambacho kinapelekea wananchi kutumia boti za mbao ambazo ni hatari sababu zikipigwa na wimbi kali husababisha ajali.

Kama ulisikia ni juzi tu wamekufa watu zaidi ya 16 kwenye ajali ya boti.

Rais Magufuli, hamna mkoa uliokupokea mpaka sasa kama Kigoma, umekuja kutuomba kura ndio tutakupa ila please fanya na sisi tunachokuomba.

Tuboreshee bandari ya Kibiriz ili wafanyabiashara wa Tanzania waweze kupeleka bidhaa zao Congo na Burundi kwa urais na haraka.
 
Sina hakika kama Kigoma Kuna mtu mwenye akili ndogo kama hii anayesubiria au anayedhani rais ndo anapeleka maendeleo sehemu badala ya yeye wenyewe na wananchi wote kwa ujumla wao.labda niulize,hivi zile fast ferry Dar to Zanzibar zinamilikiwa na serikali gani? Na kama huo usafiri wa majini huko ziwa tanganyika ni fursa ya biashara unadhani ni kitu gani kimezuia akina Bidyanguze kuwekeza hapo?
Sasa Kama Sio Rais Anae Leta Mnaendeleo Kwanini Sasa tumchague wakil mropokaj??
 
Kasema kuwa huwa hatoi ahadi hewa hivyo kwa kumrahisishia kazi ni nyinyi kutoingia chaka kwa kupigia kura wabunge wanaokwenda kutoka nje ya jengo wakati bajeti kuu ikiwa inasomwa na kujadiliwa.
Zitto ni Kigoma, Kigoma ndio Zitto, liwake jua, iwe mvua lazima bungeni arudi kwa kishindo. Sisi wanakigoma tunafahamiana vizuri na tunajua tunataka nini, kabla yahapo Magufuli aliahidi kiwanda cha samaki, mitano imeisha hatujakiona, aliahidi barabara ya nyakanazi kuja kibondo, kasulu,Kigoma itapigwa lami hatujaiona.Aliahidi kurekebisha meli ya MV LIEMBA hatujaona japo nusu marekebisho

Jana kaja naahadi za watu wa Kigoma tukauuze dagaa Afrika kusini,kila mwenye akili anajua usanii anaoufanya lkn hatopata Kura.

Anaahidi eti Kigoma itakuwa kama ulaya, mwenzake alieoita aliahidi Kigoma utakuwa kama DUBAI.

Jambo lamwisho Kigoma hakuna watu wenye akili ndogo sampuli ya mleta mada.
 
Zitto ni Kigoma, Kigoma ndio Zitto, liwake jua, iwe mvua lazima bungeni arudi kwa kishindo. Sisi wanakigoma tunafahamiana vizuri na tunajua tunataka nini, kabla yahapo Magufuli aliahidi kiwanda cha samaki, mitano imeisha hatujakiona, aliahidi barabara ya nyakanazi kuja kibondo, kasulu,Kigoma itapigwa lami hatujaiona.Aliahidi kurekebisha meli ya MV LIEMBA hatujaona japo nusu marekebisho

Jana kaja naahadi za watu wa Kigoma tukauuze dagaa Afrika kusini,kila mwenye akili anajua usanii anaoufanya lkn hatopata Kura.

Anaahidi eti Kigoma itakuwa kama ulaya, mwenzake alieoita aliahidi Kigoma utakuwa kama DUBAI.

Jambo lamwisho Kigoma hakuna watu wenye akili ndogo sampuli ya mleta mada.
Sema mtampa Zitto kwa mazoea yenu lakini sio suala la utimizaji wa ahadi.

Hakuna mtu anayetimiza ahadi na kufuatilia maagizo yake kama Magufuli.
 
Sema mtampa Zitto kwa mazoea yenu lakini sio suala la utimizaji wa ahadi.

Hakuna mtu anayetimiza ahadi na kufuatilia maagizo yake kama Magufuli.
Miaka mitano iliopita alituaahidi barabaea, meli, umeme vijijini kwa miaka mitano ametekeleza 0%
Bado yupo chato na sukuma land
 
Rais Magufuli, hamna mkoa uliokupokea mpaka sasa kama Kigoma, umekuja kutuomba kura ndio tutakupa ila please fanya na sisi tunachokuomba.


Wewe nani kakuhakikishia kuwa Magu atapita???--- kwanza subiri apita ndipo upeleke maombi yako.
 
Ukisikia watu wapumbavu na wote wanaomsikiliza magufuli
Hivi nyie hua mnaona kutukana wenzenu ndio ujanja, kila mtu na maamuzi yake sasa unamwaga tusi kwa sababu gani, au ni kweri mapokezi ya wana kigoma yalikuumiza sana? acha matusi jenga hoja.
 
Back
Top Bottom