Kwa Jinsi maisha yalivyo ni bora dada zetu wakapewa hii siri Mapema

Kwa Jinsi maisha yalivyo ni bora dada zetu wakapewa hii siri Mapema

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Kwa jinsi watoto wakike wanavyoingia broke na kupoteza thamani yao,

Ni bora hii siri wakaifahamu kuwa uzuri wa nje hauna msaada wowote katika kutoboa Maisha. Wanabidi kupambana kujiziboresha akili zao na sio kuhangaika na kuuboresha Mwili na kusahau kujiboresha ghorofani.

Katika Dunia ya leo kama ghorofani kuna shida sahau kuhusu Mafanikio yaani uzuri au mwonekano wa Mtu uwe mrefu mnene mwembamba bila kuwa vizuri ghorofani huwezi kufika popote.

Hili Jambo nimejionea kwa ndugu zangu wa kike na kiume waliodanganywa na uzuri wa nje wakasahu kuboresha ghorofani (upstairs) leo wapo broke so tuendelee kujifunza hekima hairithishwi.

UZURI wa nje ni mzuri Ila wa ndani ni bora zaidi.
 
Umeongsa jambo jema ambalo watoto wa kike asilimia kubwa tunalipuuza,KUONGEZA MAARIFA.
tuhangaikie makalio,muonekano,sura,manyonyo lakini pia tusisahau kuahangikia bongo zetu kuongeza maarifa.na yatatufaa sie wenyewe katika mafanikio binafsi ukiacahana na yale ya kupewa

Sijui nimepatia
Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza je ww unaboresha akili yako?
 
Umeongsa jambo jema ambalo watoto wa kike asilimia kubwa tunalipuuza,KUONGEZA MAARIFA.

tuhangaikie makalio, muonekano, sura, manyonyo lakini pia tusisahau kuahangikia bongo zetu kuongeza maarifa na yatatufaa sie wenyewe katika mafanikio binafsi ukiacahana na yale ya kupewa

Sijui nimepatia
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi mjini mwenye makalio makubwa na shape anajiamini kuliko mwenye degree/masters🤣🤣🤣🤣
 
Roma makatoliki aliwahi kusema :- bila kutumia akili zitakazoumia ni sehemu za Siri .
Wazazi wanapaswa kuandaa mabinti zao kujitegemea Ili.
A. Ikitokea kapata mume aongeze pato la familia na ku-boost maendeleo yao.
B. Asipopata bwana awe na maisha binafsi ajitegemee kwa kuchapa kazi halali.
 
Back
Top Bottom