Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Ukisoma chapisho la Profesa wa uchumi, ndg George Akerlof, lijulikanalo kama 'market for lemons' utaona anavyofafanua juu ya ugumu wa kupata gari bora pale unaponunua gari lililotumika hasa kutokana na taarifa mbonyeo (information assymetry) anazokuwa nazo mnunuzi ukilinganisha na muuzaji ambaye analijua gari kinagha ubaga
Kutokana na ugumu wa kulitambua gari kwa muonekano tu (mere looking) wananchi wengi wamekuwa wakitumia mbinu mbali mbali ili kufikia maamuzi ya kununua gari husika.
Moja wapo ya approach inayotumika ni kwa kuangalia namba za usajili.
Kwa sasa wanunuzi wengi wanaamini kuwa gari yenye recent registration number, yaweza kuwa bora kuliko gari yenye namba za zamani. Yani yaweza kuwa rahisi kumuuzia mteja gari ya Toyota Stout yenye namba D kuliko kumuuzia Hilux Vigo yenye namba A
Hii pia huchangiwa na kitu kinachoitwa owenership utility. Yani mteja anapata satsfaction kumiliki kitu kipya ingawa kipya chaweza pia kuwa kinyemi.
Tangu usajili wa magari kwa batch ya D uanze nchini takrabini mwaka 2014, batch hii imeendelea kuwepo kwa kipindi kirefu na huenda ikaisha mwaka 2022.
Kukaa kwa batch moja ya namba kwa muda mrefu huchangia kuharibu information symetry kwa kuwa si kweli kwamba gari yenye namba D iliyosajiliwa mwaka 2015 itakuwa na viwango sawa na gari yenye namba D iliyosajiliwa mwaka 2021.
Batch moja inapokaa muda mrefu huharibu taswira ya bidhaa na kumchanganya mteja juu ya bidhaa mbili zenye ubora tofauti lakini zilizowekwa kwenye batch moja.
Pia kuweka magari ya zamani na magari mapya (recently registered cars) kwenye batch moja, huchangia kudidimiza ownership utility au uhondo/ furaha anayoweza kupata mmiliki wa gari 'jipya' endapo angekuwa kwenye batch tofauti na mmiliki wa gari ya zamani.
Ikizingatiwa kuwa tangu tupate uhuru mpaka sasa nchi ina magari yaliyoko bara barani yasiyozidi milioni mbili na kwa kuzingatia kuwa batch moja mathalani namba D peke ake ina uwezo wa kuchukua hadi magari laki tano na elfu 19, haitokuwa busara pale namba E itakapoanza kuweza kuchukua magari laki tano na ushee wakati jumla ya magari nch nzima hayafiki milioni mbili.
Ipo haja ya kupunguza idadi ya magari yanayosajiliwa kwa kila batch kutoka hiyo takrabini laki tano na ishirini elf mpaka kwenye laki mbili na nusu.
Jambo hili si geni kwani limekuwa likifanyika kwenye mambo mengine.
Mathalani, mtoto ukimpa sahani moja ya chipsi mayai akashindwa kumaliza au akatumia siku nzima kuimaliza, kesho yake si utampa nusu sahani ili aimalize fasta?
Sasa basi kuliko kusajili magari kwenye range ya kutoka 101 hadi 999 kama sikosei, ni bora usajili ukomee kwenye magari mia tano kabla ya kurukia herufi nyingine ili kupunguza wigo wa batch wa kubeba magari mengi hivyo kuondoa uhalisia.
Mfano zitakapo anza namba E, usajili wa gari utaanza na T101 EAA. Pale itakapofikia T500EAA basi usajili urukie kwenye herufi inayofuata yani B na kuwa na namba T101EAB badala ya T501EAA.
Soko la 'mtumba wa magari ya mtumba' ni kubwa sana hasa kwa mkoa kama Dar Es Salaam.
Kwa kukadiria takrabin 90% ya magari yenye namba A yaliyokuwepo Dar hayapo tena kwa sasa maana yameshauzwa mikoani.
Takrabini 80% ya magari yenye namba B yaliyokuwepo Dar, hayapo tena kwa sasa kwa kuwa yamekwisha uzwa mikoani na takrabini 60% ya magari yenye namba C yaliyokuwepo Dar hayapo tena kwa sasa kwa kuwa yamekwisha uzwa mikoani.
Hivyo kwa ukubwa huu wa soko unaona ilivyo muhimu kutengeneza information symetry itakayo wasaidia watu wa mikoani kupata fair view ni kwa kiasi au muda gani gari analotegemea kulinunua limetumika hapa nchini with a single information displayed on a plate number.
Kutokana na ugumu wa kulitambua gari kwa muonekano tu (mere looking) wananchi wengi wamekuwa wakitumia mbinu mbali mbali ili kufikia maamuzi ya kununua gari husika.
Moja wapo ya approach inayotumika ni kwa kuangalia namba za usajili.
Kwa sasa wanunuzi wengi wanaamini kuwa gari yenye recent registration number, yaweza kuwa bora kuliko gari yenye namba za zamani. Yani yaweza kuwa rahisi kumuuzia mteja gari ya Toyota Stout yenye namba D kuliko kumuuzia Hilux Vigo yenye namba A
Hii pia huchangiwa na kitu kinachoitwa owenership utility. Yani mteja anapata satsfaction kumiliki kitu kipya ingawa kipya chaweza pia kuwa kinyemi.
Tangu usajili wa magari kwa batch ya D uanze nchini takrabini mwaka 2014, batch hii imeendelea kuwepo kwa kipindi kirefu na huenda ikaisha mwaka 2022.
Kukaa kwa batch moja ya namba kwa muda mrefu huchangia kuharibu information symetry kwa kuwa si kweli kwamba gari yenye namba D iliyosajiliwa mwaka 2015 itakuwa na viwango sawa na gari yenye namba D iliyosajiliwa mwaka 2021.
Batch moja inapokaa muda mrefu huharibu taswira ya bidhaa na kumchanganya mteja juu ya bidhaa mbili zenye ubora tofauti lakini zilizowekwa kwenye batch moja.
Pia kuweka magari ya zamani na magari mapya (recently registered cars) kwenye batch moja, huchangia kudidimiza ownership utility au uhondo/ furaha anayoweza kupata mmiliki wa gari 'jipya' endapo angekuwa kwenye batch tofauti na mmiliki wa gari ya zamani.
Ikizingatiwa kuwa tangu tupate uhuru mpaka sasa nchi ina magari yaliyoko bara barani yasiyozidi milioni mbili na kwa kuzingatia kuwa batch moja mathalani namba D peke ake ina uwezo wa kuchukua hadi magari laki tano na elfu 19, haitokuwa busara pale namba E itakapoanza kuweza kuchukua magari laki tano na ushee wakati jumla ya magari nch nzima hayafiki milioni mbili.
Ipo haja ya kupunguza idadi ya magari yanayosajiliwa kwa kila batch kutoka hiyo takrabini laki tano na ishirini elf mpaka kwenye laki mbili na nusu.
Jambo hili si geni kwani limekuwa likifanyika kwenye mambo mengine.
Mathalani, mtoto ukimpa sahani moja ya chipsi mayai akashindwa kumaliza au akatumia siku nzima kuimaliza, kesho yake si utampa nusu sahani ili aimalize fasta?
Sasa basi kuliko kusajili magari kwenye range ya kutoka 101 hadi 999 kama sikosei, ni bora usajili ukomee kwenye magari mia tano kabla ya kurukia herufi nyingine ili kupunguza wigo wa batch wa kubeba magari mengi hivyo kuondoa uhalisia.
Mfano zitakapo anza namba E, usajili wa gari utaanza na T101 EAA. Pale itakapofikia T500EAA basi usajili urukie kwenye herufi inayofuata yani B na kuwa na namba T101EAB badala ya T501EAA.
Soko la 'mtumba wa magari ya mtumba' ni kubwa sana hasa kwa mkoa kama Dar Es Salaam.
Kwa kukadiria takrabin 90% ya magari yenye namba A yaliyokuwepo Dar hayapo tena kwa sasa maana yameshauzwa mikoani.
Takrabini 80% ya magari yenye namba B yaliyokuwepo Dar, hayapo tena kwa sasa kwa kuwa yamekwisha uzwa mikoani na takrabini 60% ya magari yenye namba C yaliyokuwepo Dar hayapo tena kwa sasa kwa kuwa yamekwisha uzwa mikoani.
Hivyo kwa ukubwa huu wa soko unaona ilivyo muhimu kutengeneza information symetry itakayo wasaidia watu wa mikoani kupata fair view ni kwa kiasi au muda gani gari analotegemea kulinunua limetumika hapa nchini with a single information displayed on a plate number.
Upvote
12