Uchaguzi 2020 Kwa jinsi ninavyomuona Mgombea CCM hataki kufanya kampeni ajue ni wakati wa kuomba Ajira

Uchaguzi 2020 Kwa jinsi ninavyomuona Mgombea CCM hataki kufanya kampeni ajue ni wakati wa kuomba Ajira

Wapo bize kutunga uongo ili kuonesha namna walivompa laptop kila mwalimu indirectly..... [emoji1787][emoji1787]
Maccm ng'ombe labisa
[emoji16][emoji16] Elimu bure=nyongeza ya mshahara
 
Wakurugenzi walishamuhaidi kura za kishindo kwenye masanduku ya kura
 
Uchaguzi wa mwaka huu sioni kama mgombea wa CCM anahitaji au kuonesha nia ya dhati ya kufanya kampeni za kuomba kibarua cha kulisha familia yake kwa miaka mitano tena. Ninachokiona naona mgombea kama kachoka na hataki tena sema analazimishwa utaratibu wa CCM kuwa lazima umalize miaka kumi.

Sioni sura ya bashasha waioneshayo wanafunzi waliotoka chuoni wajapo kufanya interview kuomba ajira.

Naiona sura iliyokunjamana,kiburi,na majivuno mengi sishangai pengine ni maumbile yake lakini nadhani kipindi hiki ni kipindi muhimu sanaa kwake kuonesha sura ya Tabasamu kama wafanyavyo wanafunzi wajapo hapo ofisini kwangu Wizarani kuomba kazi.

Ninatambua anaumia sana kutumia bilioni 300 na zaidi kwa ajili ya uchaguzi ila hizo ni fedha zetu wote ziache zitafunwe.

Hivi zote za nini kununulia Makopo ya kutumbukiza makaratasi ya watu waliotiwa tiki au kosa?Mimi kama Waziri nasema ni nyingi sana tume itupe mchanganuo wa matumizi ya hizo fedha.

Wagombea tambueni mnaomba ajira habari za kuja mmenuna hatuzitaki.
Kura zake dola itampigia kwa kuiba hamna haja ya kumchosha
 
Katika uchaguzi ambao CDM mumekosa mishe ni mwaka huu.
Ile kauli "Chadema inaenda kufa" ipo mbioni kutimia.
Kuisha uchaguzi huu na Chadema kudee.
 
Kiitikio: tumeibiwa kura
Uchaguzi wa mwaka huu sioni kama mgombea wa CCM anahitaji au kuonesha nia ya dhati ya kufanya kampeni za kuomba kibarua cha kulisha familia yake kwa miaka mitano tena. Ninachokiona naona mgombea kama kachoka na hataki tena sema analazimishwa utaratibu wa CCM kuwa lazima umalize miaka kumi.

Sioni sura ya bashasha waioneshayo wanafunzi waliotoka chuoni wajapo kufanya interview kuomba ajira.

Naiona sura iliyokunjamana,kiburi,na majivuno mengi sishangai pengine ni maumbile yake lakini nadhani kipindi hiki ni kipindi muhimu sanaa kwake kuonesha sura ya Tabasamu kama wafanyavyo wanafunzi wajapo hapo ofisini kwangu Wizarani kuomba kazi.

Ninatambua anaumia sana kutumia bilioni 300 na zaidi kwa ajili ya uchaguzi ila hizo ni fedha zetu wote ziache zitafunwe.

Hivi zote za nini kununulia Makopo ya kutumbukiza makaratasi ya watu waliotiwa tiki au kosa?Mimi kama Waziri nasema ni nyingi sana tume itupe mchanganuo wa matumizi ya hizo fedha.

Wagombea tambueni mnaomba ajira habari za kuja mmenuna hatuzitaki.
 
Uchaguzi wa mwaka huu sioni kama mgombea wa CCM anahitaji au kuonesha nia ya dhati ya kufanya kampeni za kuomba kibarua cha kulisha familia yake kwa miaka mitano tena. Ninachokiona naona mgombea kama kachoka na hataki tena sema analazimishwa utaratibu wa CCM kuwa lazima umalize miaka kumi.

Sioni sura ya bashasha waioneshayo wanafunzi waliotoka chuoni wajapo kufanya interview kuomba ajira.

Naiona sura iliyokunjamana,kiburi,na majivuno mengi sishangai pengine ni maumbile yake lakini nadhani kipindi hiki ni kipindi muhimu sanaa kwake kuonesha sura ya Tabasamu kama wafanyavyo wanafunzi wajapo hapo ofisini kwangu Wizarani kuomba kazi.

Ninatambua anaumia sana kutumia Bilioni 300 na zaidi kwa ajili ya Uchaguzi ila hizo ni fedha zetu wote ziache zitafunwe.

Hivi zote za nini kununulia Makopo ya kutumbukiza makaratasi ya watu waliotiwa tiki au kosa?Mimi kama Waziri nasema ni nyingi sana tume itupe mchanganuo wa matumizi ya hizo fedha.

Wagombea tambueni mnaomba ajira habari za kuja mmenuna hatuzitaki.

Ni kweli hata mimi naona MAGU hana hamu kabisa na kampeni. Ingekuwa amri yake ange cancel uchaguzi wote. HATA HIZI FIGISUFIGISU ZA KUENGUA WAGOMBEA ILIKUWA NI MKAKATI WAPINZANIA WAJITOE CCM ITANGAZWE MSHINDI. MAGUFULI HANA HAMU NA KAMPENI HASA KUZUNGUKA NCHI NZIMA HATAKI.
 
Kwa jirani kunafuka moshi..bashasha litatoka wapi!? Kuna hali fulani ya wanafamilia kususia kampeni
Too early kusema wamesusa.Mtakuja kusema nini mkiwaona hao mnaosema wamesusa siku ya 10,20 au 40??
 
Mwaka huu wapiga kura wanapanda Malori kwenda kusikiliza sera badala ya wagombea kwenda kwa wapiga kura.​
 
[emoji16][emoji16] Elimu bure=nyongeza ya mshahara
Wapo bize kutunga uongo ili kuonesha namna walivompa laptop kila mwalimu indirectly.....
Maccm ng'ombe labisa
 
Back
Top Bottom