Rayz
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 339
- 261
[emoji16][emoji16] Elimu bure=nyongeza ya mshaharaWapo bize kutunga uongo ili kuonesha namna walivompa laptop kila mwalimu indirectly..... [emoji1787][emoji1787]
Maccm ng'ombe labisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16] Elimu bure=nyongeza ya mshaharaWapo bize kutunga uongo ili kuonesha namna walivompa laptop kila mwalimu indirectly..... [emoji1787][emoji1787]
Maccm ng'ombe labisa
Kura zake dola itampigia kwa kuiba hamna haja ya kumchoshaUchaguzi wa mwaka huu sioni kama mgombea wa CCM anahitaji au kuonesha nia ya dhati ya kufanya kampeni za kuomba kibarua cha kulisha familia yake kwa miaka mitano tena. Ninachokiona naona mgombea kama kachoka na hataki tena sema analazimishwa utaratibu wa CCM kuwa lazima umalize miaka kumi.
Sioni sura ya bashasha waioneshayo wanafunzi waliotoka chuoni wajapo kufanya interview kuomba ajira.
Naiona sura iliyokunjamana,kiburi,na majivuno mengi sishangai pengine ni maumbile yake lakini nadhani kipindi hiki ni kipindi muhimu sanaa kwake kuonesha sura ya Tabasamu kama wafanyavyo wanafunzi wajapo hapo ofisini kwangu Wizarani kuomba kazi.
Ninatambua anaumia sana kutumia bilioni 300 na zaidi kwa ajili ya uchaguzi ila hizo ni fedha zetu wote ziache zitafunwe.
Hivi zote za nini kununulia Makopo ya kutumbukiza makaratasi ya watu waliotiwa tiki au kosa?Mimi kama Waziri nasema ni nyingi sana tume itupe mchanganuo wa matumizi ya hizo fedha.
Wagombea tambueni mnaomba ajira habari za kuja mmenuna hatuzitaki.
Uchaguzi wa mwaka huu sioni kama mgombea wa CCM anahitaji au kuonesha nia ya dhati ya kufanya kampeni za kuomba kibarua cha kulisha familia yake kwa miaka mitano tena. Ninachokiona naona mgombea kama kachoka na hataki tena sema analazimishwa utaratibu wa CCM kuwa lazima umalize miaka kumi.
Sioni sura ya bashasha waioneshayo wanafunzi waliotoka chuoni wajapo kufanya interview kuomba ajira.
Naiona sura iliyokunjamana,kiburi,na majivuno mengi sishangai pengine ni maumbile yake lakini nadhani kipindi hiki ni kipindi muhimu sanaa kwake kuonesha sura ya Tabasamu kama wafanyavyo wanafunzi wajapo hapo ofisini kwangu Wizarani kuomba kazi.
Ninatambua anaumia sana kutumia bilioni 300 na zaidi kwa ajili ya uchaguzi ila hizo ni fedha zetu wote ziache zitafunwe.
Hivi zote za nini kununulia Makopo ya kutumbukiza makaratasi ya watu waliotiwa tiki au kosa?Mimi kama Waziri nasema ni nyingi sana tume itupe mchanganuo wa matumizi ya hizo fedha.
Wagombea tambueni mnaomba ajira habari za kuja mmenuna hatuzitaki.
Uchaguzi wa mwaka huu sioni kama mgombea wa CCM anahitaji au kuonesha nia ya dhati ya kufanya kampeni za kuomba kibarua cha kulisha familia yake kwa miaka mitano tena. Ninachokiona naona mgombea kama kachoka na hataki tena sema analazimishwa utaratibu wa CCM kuwa lazima umalize miaka kumi.
Sioni sura ya bashasha waioneshayo wanafunzi waliotoka chuoni wajapo kufanya interview kuomba ajira.
Naiona sura iliyokunjamana,kiburi,na majivuno mengi sishangai pengine ni maumbile yake lakini nadhani kipindi hiki ni kipindi muhimu sanaa kwake kuonesha sura ya Tabasamu kama wafanyavyo wanafunzi wajapo hapo ofisini kwangu Wizarani kuomba kazi.
Ninatambua anaumia sana kutumia Bilioni 300 na zaidi kwa ajili ya Uchaguzi ila hizo ni fedha zetu wote ziache zitafunwe.
Hivi zote za nini kununulia Makopo ya kutumbukiza makaratasi ya watu waliotiwa tiki au kosa?Mimi kama Waziri nasema ni nyingi sana tume itupe mchanganuo wa matumizi ya hizo fedha.
Wagombea tambueni mnaomba ajira habari za kuja mmenuna hatuzitaki.
Too early kusema wamesusa.Mtakuja kusema nini mkiwaona hao mnaosema wamesusa siku ya 10,20 au 40??Kwa jirani kunafuka moshi..bashasha litatoka wapi!? Kuna hali fulani ya wanafamilia kususia kampeni
Uliona wapiii umeona wapiii ulisikia wapiiii[emoji119][emoji119]Aliyoyafanya ni kampeni tosha ndo maana hajisumbui
Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiihhhhh baghoshaUliona wapiii umeona wapiii ulisikia wapiiii[emoji119][emoji119]
Wapo bize kutunga uongo ili kuonesha namna walivompa laptop kila mwalimu indirectly.....[emoji16][emoji16] Elimu bure=nyongeza ya mshahara