Poleni sana kwa maumivu makubwa licha ya kufanikiwa kulinda magoli yenu mliyoshinda ugenini.
Wengi mlitarajia leo mtashinda angalau goli 3 ili kuwapungunzia maumivu ya michomo miwili ya kibabe ambayo itawatesa msimu huu wote. Lakini wapi.
Wengi hamna ngebe kabisa na siwaoni mkifurahia kuingia kwenu nusu fainali bila kumtaja mnyama ambaye hata hivyo bado hamjamfikia ukubwa wake kimataifa. Mnaumia sana kwa ndani, siyo kawaida yenu. Uthibitisho unafuata hapa katika uzi huu.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Wengi mlitarajia leo mtashinda angalau goli 3 ili kuwapungunzia maumivu ya michomo miwili ya kibabe ambayo itawatesa msimu huu wote. Lakini wapi.
Wengi hamna ngebe kabisa na siwaoni mkifurahia kuingia kwenu nusu fainali bila kumtaja mnyama ambaye hata hivyo bado hamjamfikia ukubwa wake kimataifa. Mnaumia sana kwa ndani, siyo kawaida yenu. Uthibitisho unafuata hapa katika uzi huu.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app