Kwa jinsi Rwanda anavyojenga na kukarabati kwa kasi viwanja vyake vya mpira wa miguu, ni kama kuna kitu wanajua kitatokea kuelekea AFCON 2027

Kwa jinsi Rwanda anavyojenga na kukarabati kwa kasi viwanja vyake vya mpira wa miguu, ni kama kuna kitu wanajua kitatokea kuelekea AFCON 2027

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Rwanda nadhani kuna nchi wameisoma inaweza kutema au kutemeshwa tenda ya AFCON 2027.

Rwanda wanakarabati na kujenga viwanja kwa kasi kubwa sana.

Juzi ninemsikia Waziri wa Michezo Mh. Ndumbaro, sikumuelewa, anasema iwanja wa taifa unaingiza watu karibu 60,000, lakini anasema wameagiza viti vipya 20,000, na vyenyewe hawatavifunga katika uwanja, kwa nini isiwe viti 60,000? Viti 40,000 vimeenda wapi? Au hela yake imeenda wapi?

Mnaenda kuvifunga katika viwanja via CCM?

Nikiangalia uwanja wa Arusha, awali tuliambiwa unagharimu bilioni 250, leo Waziri anasema 280.

Lakini FIFA waliandaa tamasha lao hapa Tanzania, tukaambiwa wamekarabati uwanja kwa bilioni 30, is it? Or it is? Then AFCON serikali inaweka almost the same amount au zaidi! Bilioni 60 za ukarabati!?

Rwanda ameona kitu, hata uwanja wa Dodoma hausikiki tena kujengwa.

Kinachoonekana ni kuishinikiza Zanzibar ipangue viti ili spacing yake iendane na viwango via FIFA, therefore Amani Stadium is under reconstruction.

Inawezekana bid hii ikaongeza nchi ya Rwanda, Zika wa nchi nne. It's a matter of time kabla hosting ya AFCON haijawa re-negotiated.

Hii ni Amahoro Stadium, halafu CAF waitupie Morocco, Ethiopia, na nchi zenye warembo pale Rwanda Amahoro Stadium, itakuwa Eden hia hia on earth.

Screenshot_20241207-143014.jpg
 
Rwanda nadhani kuna nchi wameisoma inaweza kutema au kutemeshwa tenda ya AFCON 2027.

Rwanda wanakarabati na kujenga viwanja kwa kasi kubwa sana.

Juzi ninemsikia Waziri wa Michezo Mh. Ndumbaro, sikumuelewa, anasema iwanja wa taifa unaingiza watu karibu 60,000, lakini anasema wameagiza viti vipya 20,000, na vyenyewe hawatavifunga katika uwanja, kwa nini isiwe viti 60,000? Viti 40,000 vimeenda wapi? Au hela yake imeenda wapi?

Mnaenda kuvifunga katika viwanja via CCM?

Nikiangalia uwanja wa Arusha, awali tuliambiwa unagharimu bilioni 250, leo Waziri anasema 280.

Lakini FIFA waliandaa tamasha lao hapa Tanzania, tukaambiwa wamekarabati uwanja kwa bilioni 30, is it? Or it is? Then AFCON serikali inaweka almost the same amount au zaidi! Bilioni 60 za ukarabati!?

Rwanda ameona kitu, hata uwanja wa Dodoma hausikiki tena kujengwa.

Kinachoonekana ni kuishinikiza Zanzibar ipangue viti ili spacing yake iendane na viwango via FIFA, therefore Amani Stadium is under reconstruction.

Inawezekana bid hii ikaongeza nchi ya Rwanda, Zika wa nchi nne. It's a matter of time kabla hosting ya AFCON haijawa re-negotiated.

Hii ni Amahoro Stadium, halafu CAF waitupie Morocco, Ethiopia, na nchi zenye warembo pale Rwanda Amahoro Stadium, itakuwa Eden hia hia on earth.

View attachment 3171311

Wameangalia fursa kwa Kenya. Kenya bado ujenzi wa viwanja unasuasua.
 
Huu upuuzi wala tusingechukua.., kwa nchi kama hii tutapigwa tu na pesa kupotea na watu kujinufaisha kwa ku inflate gharama..., haya yaliwatokea hata Ghana; Haya mambo zaidi ya Ujiko na Show Off mara nyingi monetary wise it never even break even...

The 13th African Games are in full swing in Ghana, but the high cost of hosting the event amid a time of economic turmoil has brought scrutiny.

An outlay of almost $250m (£195.2m) has been committed on the multi-sport event, with government opposition declaring it a "misplaced priority" for a nation which is heavily indebted, enduring high rates of inflation and suffering the effects of the regional cost of living crisis.

"I really don't think we have our priorities right as a nation," opposition MP Samuel Okudzeto Ablakwa told BBC Sport Africa.

The Games were originally scheduled to take place in August last year but were rescheduled to this month because of a disagreement over marketing rights which delayed the completion of facilities.

Yet the event, which features more than 5,000 athletes and officials from across the continent competing in 29 disciplines, did not get off to the most auspicious start.

There were four power outages with the first three days of competition, including during Ghana's opening game of the women's football event against Ethiopia at the Cape Coast Stadium and a blackout at the athletes' village.

The first beach volleyball match was delayed by 35 minutes as no nets had been installed, and it was reported that Ghana's cycling team had to buy new bikes.
 
Rwanda nadhani kuna nchi wameisoma inaweza kutema au kutemeshwa tenda ya AFCON 2027.

Rwanda wanakarabati na kujenga viwanja kwa kasi kubwa sana.

Juzi ninemsikia Waziri wa Michezo Mh. Ndumbaro, sikumuelewa, anasema iwanja wa taifa unaingiza watu karibu 60,000, lakini anasema wameagiza viti vipya 20,000, na vyenyewe hawatavifunga katika uwanja, kwa nini isiwe viti 60,000? Viti 40,000 vimeenda wapi? Au hela yake imeenda wapi?

Mnaenda kuvifunga katika viwanja via CCM?

Nikiangalia uwanja wa Arusha, awali tuliambiwa unagharimu bilioni 250, leo Waziri anasema 280.

Lakini FIFA waliandaa tamasha lao hapa Tanzania, tukaambiwa wamekarabati uwanja kwa bilioni 30, is it? Or it is? Then AFCON serikali inaweka almost the same amount au zaidi! Bilioni 60 za ukarabati!?

Rwanda ameona kitu, hata uwanja wa Dodoma hausikiki tena kujengwa.

Kinachoonekana ni kuishinikiza Zanzibar ipangue viti ili spacing yake iendane na viwango via FIFA, therefore Amani Stadium is under reconstruction.

Inawezekana bid hii ikaongeza nchi ya Rwanda, Zika wa nchi nne. It's a matter of time kabla hosting ya AFCON haijawa re-negotiated.

Hii ni Amahoro Stadium, halafu CAF waitupie Morocco, Ethiopia, na nchi zenye warembo pale Rwanda Amahoro Stadium, itakuwa Eden hia hia on earth.

View attachment 3171311
ni uwanja huo mmoja tu au vipo vingine? hata hivyo wangepata na wao ingekuwa poa tu. Rwanda wapo positioned vizuri kuliko hata Nairobi.
 
Back
Top Bottom