Kwa Kamanda IGP na RPC Dodoma

Kwa Kamanda IGP na RPC Dodoma

Hivi kwwli majirani mnashindwa kuchomoa hata simu zenu kwa pamoja kurekodi hilo tukio? Unadhani mngetoa simu kwa pamoja angeendelea na upumbavu wake?

Kuna mtu alisema “ NYERERE ANAONGOZA MAITI” Kuna kwa ukweli ndani yake
Hahahahahahha mh jomo Kenyatta
 
Huu ujinga wangefanya kule Kenya tungekua tunaongea mengine. Raia wa Kenya wana uthubutu.
 
Ifike wakati hata nyinyi majirani muwe na akili timamu vichwani mwenu. Kwa Askari Polisi yoyote yule anayekuja kumkamata mtu kwa utaratibu kama huo ulioeleza huyo atakuwa ni Mhalifu, wala siyo Askari Polisi. Utaratibu wa kukamata Watuhumiwa upo wazi umeelezwa ktk Sheria za nchi.

Majirani mlipaswa kutoa ushirikiano kwa Mwananchi mwenzenu, mlipaswa kumkabili vilivyo huyo Askari Polisi kwa sababu alikuwa ni mhalifu kama Wahalifu wengine, ni jambazi au mtekaji.

But all in all, Sheria za Umiliki wa Silaha hapa Tanzania zinatakiwa kubadilishwa, kumiliki bunduki iwe iwe ni HAKI ya kila raia mwenye akili timamu hapa nchini.
Sahihi kabisa
 
Mimi niliendelea na mjukumu yangu mpaka naondoka majira ya saa tisa hakurudi. Sasa Kuna maswali najiuliza ni kwanini askari atumie nguvu kubwa namna Ile kisa kaulizwa kitambulisho cha kazi?
Na alitakiwa aende na kiongozi wa serikali ya mtaa
 
Nianze kwa kuwapa Pole na ujenzi wa taifa, naomba niweke wazi kwamba Kuna jambo nimelishuhudia hapa kwa jirani yangu siamini kama utendaji wa jeshi la polisi umefikiwa viwango hivi ama ni wale Maaskari walikuwa wakifanya vile kwa matakwa Yao binafsi.

Ilikuwa majira ya saa Saba mchana Askari alifika kwa jirani yangu kwa lengo la kumuhitaji mke kwa lengo la kumkamata na kwenda naye polisi kwa bahati mbaya hawakumkuta kwani alikuwa kazini.

Nilisikia akimuuliza jiani mke wako Yuko Mimi ni Askari, jirani yangu akamjibu ni vema ukanionyesha kitambulisho chako kama kweli ni Askari Ili tuendelee na mazungumzo ghafra yule Askari akamjibu ngoja nikuonyeshe kitambulisho angiza mkono mfukoni na kutoa pingu na kumfunga jirani yangu.

Baada kumfunga pingu akaanza kumshambulia kwa ngumu mateke vichwa huku jirani yangu akihoji kuomba kitambulisho ni kosa? Wakati huo gari no STM 5771 land cruiser double cabin ya rangi ya kijivu ikiwa imepaki karibu na kwangu hapa kukiwa na Askari mmoja na mtumishi wa Gmicrofinance ambayo IPO karibu na Magorofa ya Mpwapwa Frats.

Kwa bahati nzuri yule mwanyakazi wa Gmicrofinance namfahamu anaitwa Andrew lakini Moja ya wale Askari huwa namuona sana pale kwenye kituo kidago kinaitwa Ndashi kwenye mataa njia ya kwenda Dodoma in walimpakia jirani yangu na kutokomea naye kusikojulikana.

Mimi niliendelea na mjukumu yangu mpaka naondoka majira ya saa tisa hakurudi. Sasa Kuna maswali najiuliza ni kwanini askari atumie nguvu kubwa namna Ile kisa kaulizwa kitambulisho cha kazi?

Pili ni kwanini taasisi binafsi ya Gmicrofinance (kausha damu) itumie gari la serikali kupitia mtaani kukamata wadeni wake na askari ambao hawana uniform Wala vitambulisho lakini pia hii ni hatari kwa usalama wa Askari kwani muda mfupi tayari majirani walisha jaa, pengine ingeleta uvunjifu wa amani
Mngeichoma moto hiyo STM 5771
 
Na Mimi nimewaza kama wewe Gari la serikali linatumiwa na kausha damu kukusanya madeni mtaani choma hilo gari pengine serikali itajua matumizi sahihi ya mali za serikali ukute hiyo Gmicrofinance hata Kodi hawalipi
Walifanya kosa sana
 
Nianze kwa kuwapa Pole na ujenzi wa taifa, naomba niweke wazi kwamba Kuna jambo nimelishuhudia hapa kwa jirani yangu siamini kama utendaji wa jeshi la polisi umefikiwa viwango hivi ama ni wale Maaskari walikuwa wakifanya vile kwa matakwa Yao binafsi.

Ilikuwa majira ya saa Saba mchana Askari alifika kwa jirani yangu kwa lengo la kumuhitaji mke kwa lengo la kumkamata na kwenda naye polisi kwa bahati mbaya hawakumkuta kwani alikuwa kazini.

Nilisikia akimuuliza jiani mke wako Yuko Mimi ni Askari, jirani yangu akamjibu ni vema ukanionyesha kitambulisho chako kama kweli ni Askari Ili tuendelee na mazungumzo ghafra yule Askari akamjibu ngoja nikuonyeshe kitambulisho angiza mkono mfukoni na kutoa pingu na kumfunga jirani yangu.

Baada kumfunga pingu akaanza kumshambulia kwa ngumu mateke vichwa huku jirani yangu akihoji kuomba kitambulisho ni kosa? Wakati huo gari no STM 5771 land cruiser double cabin ya rangi ya kijivu ikiwa imepaki karibu na kwangu hapa kukiwa na Askari mmoja na mtumishi wa Gmicrofinance ambayo IPO karibu na Magorofa ya Mpwapwa Frats.

Kwa bahati nzuri yule mwanyakazi wa Gmicrofinance namfahamu anaitwa Andrew lakini Moja ya wale Askari huwa namuona sana pale kwenye kituo kidago kinaitwa Ndashi kwenye mataa njia ya kwenda Dodoma in walimpakia jirani yangu na kutokomea naye kusikojulikana.

Mimi niliendelea na mjukumu yangu mpaka naondoka majira ya saa tisa hakurudi. Sasa Kuna maswali najiuliza ni kwanini askari atumie nguvu kubwa namna Ile kisa kaulizwa kitambulisho cha kazi?

Pili ni kwanini taasisi binafsi ya Gmicrofinance (kausha damu) itumie gari la serikali kupitia mtaani kukamata wadeni wake na askari ambao hawana uniform Wala vitambulisho lakini pia hii ni hatari kwa usalama wa Askari kwani muda mfupi tayari majirani walisha jaa, pengine ingeleta uvunjifu wa amani
Huyo Askari wa kituo kidogo Cha ndasha pale mataa barabara ya DODOMA in anaitwa waziri nilimuona hiyo siku kwenye hiyo gari STM 5771 pale njia Panda ya chamwino ikulu Kuna Askari wanavaa gwanda za polisi ila ni majambazi
 
Naomba kuelekezwa namna ya kuangalia namba ya gari inamilikiwa na nani/ taasisi gani
STM 5771 Toyota Hilux 2.4 double cabin ya kijivu kuna wadau humu watakuwa wameitambua nafkiri huyo mmiliki wa hiyo kampuni ya Gmicrofinance atakuwa na vinasaba vya hiyo gari
 
Mimi niliendelea na mjukumu yangu mpaka naondoka majira ya saa tisa hakurudi. Sasa Kuna maswali najiuliza ni kwanini askari atumie nguvu kubwa namna Ile kisa kaulizwa kitambulisho cha kazi?
Huko nikuto jiamini. Ole wake angemsemesha kiinglish. Hoooooo pangewaka moto
 
Nianze kwa kuwapa Pole na ujenzi wa taifa, naomba niweke wazi kwamba Kuna jambo nimelishuhudia hapa kwa jirani yangu siamini kama utendaji wa jeshi la polisi umefikiwa viwango hivi ama ni wale Maaskari walikuwa wakifanya vile kwa matakwa Yao binafsi.

Ilikuwa majira ya saa Saba mchana Askari alifika kwa jirani yangu kwa lengo la kumuhitaji mke kwa lengo la kumkamata na kwenda naye polisi kwa bahati mbaya hawakumkuta kwani alikuwa kazini.

Nilisikia akimuuliza jiani mke wako Yuko Mimi ni Askari, jirani yangu akamjibu ni vema ukanionyesha kitambulisho chako kama kweli ni Askari Ili tuendelee na mazungumzo ghafra yule Askari akamjibu ngoja nikuonyeshe kitambulisho angiza mkono mfukoni na kutoa pingu na kumfunga jirani yangu.

Baada kumfunga pingu akaanza kumshambulia kwa ngumu mateke vichwa huku jirani yangu akihoji kuomba kitambulisho ni kosa? Wakati huo gari no STM 5771 land cruiser double cabin ya rangi ya kijivu ikiwa imepaki karibu na kwangu hapa kukiwa na Askari mmoja na mtumishi wa Gmicrofinance ambayo IPO karibu na Magorofa ya Mpwapwa Frats.

Kwa bahati nzuri yule mwanyakazi wa Gmicrofinance namfahamu anaitwa Andrew lakini Moja ya wale Askari huwa namuona sana pale kwenye kituo kidago kinaitwa Ndashi kwenye mataa njia ya kwenda Dodoma in walimpakia jirani yangu na kutokomea naye kusikojulikana.

Mimi niliendelea na mjukumu yangu mpaka naondoka majira ya saa tisa hakurudi. Sasa Kuna maswali najiuliza ni kwanini askari atumie nguvu kubwa namna Ile kisa kaulizwa kitambulisho cha kazi?

Pili ni kwanini taasisi binafsi ya Gmicrofinance (kausha damu) itumie gari la serikali kupitia mtaani kukamata wadeni wake na askari ambao hawana uniform Wala vitambulisho lakini pia hii ni hatari kwa usalama wa Askari kwani muda mfupi tayari majirani walisha jaa, pengine ingeleta uvunjifu wa amani


Ndo hali ya hii nchi, poleni sana wa Tanzania, wala huna haja ya kuwaambia, haya hufanyika bila kificho na popote.
 
Kwahiyo imekuwa ni mtindo,

Dah nchi inapelekwa wapi hii Ina maana magari ya serikali yanatumika kwenye mishe za watu binafsi mala kubebea wahamiaji haramu mala mihadarati kweli kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake maana STM 5771 hii gari ni mali ya serikali sasa na kausha damu wapi na wapi!? Matumizi mabovu ya Mali za serikali kwahiyo Kodi ya wananchi ndiyo matumizi yake.!!?
Hao SI ni form 4 na D 2? Akili hamna!
 
Back
Top Bottom