Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kelele bana Mi 5 Tena!Sielewi polisi wa mkoa wa Tabora na hususani manispaa ya Tabora chini ya RPC wenu mnakwama wapi...
Tabora manispaa ya hatari ya miaka ya 1990s na kidogo 2000s iliyokuwa imejaa uhalifu na ujambazi ni kama inarudi taratibu..
Wengi hususan wale "wazei wa ndiyoo..." huwa hawana muda wa kushirikisha bongo kabla ya kujibu!!hujaelewa kwamba alikuwa anawahi manisapaa kwa ajili ya kwennda kusimamia mitihani ya darasa la saba,kuwahi usafiri kwenda wilayani..HALAFU TANGU LINI WANAWAKE HAWANA RUHUSA KUTEMBEA USIKU?ITANGAZWE TU kama ni hivyo
Lakini akisikia cdm wanafanya mkutano wao wa halali, utaona magari ya polisi yametanda na polisi waliovalia helmeti na silaha za moto. Huu ni udhibitisho kuwa polisi ndio wanaoratibu matukio ya uhalifu nchini.Kamamanda wa Tabora kwenye Nswalu na Nsansa anakwama wapi?
Sana nane usku mtoto wa kike anafanya nin road ? Mi nilifkr ukibaka wa mchana mchana hapo tungemlaumu RPC , sa usku sa nane Jaman , mtoto wa kike unaranda Randa Tu na boda boda, mida ya wanga kabisa , ... Kama ni hivyo bas polisi wana kazi kuigeuza hii Dunia kuwa paradiso
Usingemjibu mpumbavu kabisa anashindwa kusoma na kuelewahujaelewa kwamba alikuwa anawahi manisapaa kwa ajili ya kwennda kusimamia mitihani ya darasa la saba,kuwahi usafiri kwenda wilayani..HALAFU TANGU LINI WANAWAKE HAWANA RUHUSA KUTEMBEA USIKU?ITANGAZWE TU kama ni hivyo
Wenzenu wa chadema kwenye vikao wanawachoma.Lakini akisikia cdm wanafanya mkutano wao wa halali, utaona magari ya polisi yametanda na polisi waliovalia helmeti na silaha za moto. Huu ni udhibitisho kuwa polisi ndio wanaoratibu matukio ya uhalifu nchini.
Wenzenu wa chadema kwenye vikao wanawachoma.
Uwezi kujua yote,lakini ndani yenu na wale wamo.Wanawatuchoma nini? Maana hivyo vikao vinafanyika mchana kweupe, tena sehemu zinazofahamika.
Saa nane usiku mtoto wa kike anafanya nin road? Mi nilifikiri ukibaka wa mchana mchana hapo tungemlaumu RPC, sa usiku saa nane Jamani? Mtoto wa kike unaranda randa tu na boda boda, mida ya wanga kabisa, kama ni hivyo bas polisi wana kazi kuigeuza hii Dunia kuwa paradiso
Utakuwa mshirika kwa njia moja ama nyingine.Saa nane usiku mtoto wa kike anafanya nin road? Mi nilifikiri ukibaka wa mchana mchana hapo tungemlaumu RPC, sa usiku saa nane Jamani? Mtoto wa kike unaranda randa tu na boda boda, mida ya wanga kabisa, kama ni hivyo bas polisi wana kazi kuigeuza hii Dunia kuwa paradiso