Ukitoa DSTV king'amuzi kinachofuata kwa ubora ni startimes, kwa upande wa football wako vizuri, series za kizungu, kihindi kichina, kikorea na kituruki wako vizuri kwa upande wa Tamthilia zilizotafsiriwa ingawa mimi sio mpenzi nazo ila The Brothers hainipiti, kwa upande wa michuano ya kimataifa star times inaonyesha ligi nyingi zaidi ya Azam huku mpaka Ronaldo anaonekana,kwa upande wa soka la Africa, wanaonyesha michuano yote inayosimamiwa na caf, Tunaangalia ligi ya kenya, tunaangalia ligi ya Uganda na kwa upande wa Tanzania wameanza na champioshp,