Kitukuu JR
Member
- Feb 12, 2023
- 38
- 52
Hao Azam ukicha league ya bongo hawana jipya kabisaKwa kasi hii ya Azam wachina wa Startimes wajiandae kufungasha virago?
Naona Azam media wanazidi kuja kwa kasi leo hii wamezindua minara ya bilioni 50 mikoa 21
Baada ya Dish wamekuja na vya Antenna, hawa jamaa wapo vizuri sana naona kwa sasa Wachina wa Startimes wajiandae kisaikolojia tu maana sidhani kama kuna mtu timamu atatumia vile vidubwashwa vyao.
Kongole Azam media sasa huku kwa vya Antenna ndo mnaenda kusepa na nyomi ya kijiji.
Start time wapo vizuri sana kwa kila idara
Hata rejea piatakwimu za TCRL king'amuzi kinachoongoza kuwa na wateja wengi ni kipi kama sio Startime..
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app