Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comments kama hizi hazikosiKisimbusi cha Waislam!
Ana hoja kubwa tu..contents nyingi za hicho kisimbuzi zipo upande wa Muslims hata tamthilia zao maudhui ya vipindi na hata watangazaji..hiko wazi kabisaComments kama hizi hazikosi
Kisimbusi cha Waislam!
Anzisheni na nyie cha kwenu mrushe upako siku nzima hakuna atakaekuzuia ilimradi unalipa Kodi.Kisimbusi cha Waislam!
Umezuiwa!!?Anzisheni na nyie cha kwenu mrushe upako siku nzima hakuna atakaekuzuia ilimradi unalipa Kodi.
Tusipangiane maisha.
Unaweza kuweka idadi ya Waislam na Wakristo watangazaji hapa ili tuone? Watu wengine mnatia huruma, akili hizi haziwezi kutupatia Katiba mpyaAna hoja kubwa tu..contents nyingi za hicho kisimbuzi zipo upande wa Muslims hata tamthilia zao maudhui ya vipindi na hata watangazaji..hiko wazi kabisa
Kweli hatuwezi kupata katiba mpya kwa uelewa huuUnaweza kuweka idadi ya Waislam na Wakristo watangazaji hapa ili tuone? Watu wengine mnatia huruma, akili hizi haziwezi kutupatia Katiba mpya
Mimi nilidhani DStv ndio mpinzani mkuu wa Azam Tv, Kulinganisha Azam na Star Tv ni sawa na kulinganisha Yanga iliyofika fainali na MakoloKwa kasi hii ya Azam wachina wa Startimes wajiandae kufungasha virago?
Naona Azam media wanazidi kuja kwa kasi leo hii wamezindua minara ya bilioni 50 mikoa 21
Baada ya Dish wamekuja na vya Antenna, hawa jamaa wapo vizuri sana naona kwa sasa Wachina wa Startimes wajiandae kisaikolojia tu maana sidhani kama kuna mtu timamu atatumia vile vidubwashwa vyao.
Kongole Azam media sasa huku kwa vya Antenna ndo mnaenda kusepa na nyomi ya kijiji.
Sio star TV ni startimes mkuuMimi nilidhani DStv ndio mpinzani mkuu wa Azam Tv, Kulinganisha Azam na Star Tv ni sawa na kulinganisha Yanga iliyofika fainali na Makolo
Baada ya Dish wamekuja na vya Antenna, hawa jamaa wapo vizuri sana
Startimes ilikufa miaka 10 iliyopita niliwaambia kabisa nikiwa makao makuu yao pale Chaoyangmen. Hawana weredi wa African ways of doing business right from HQKwa kasi hii ya Azam wachina wa Startimes wajiandae kufungasha virago?
Naona Azam media wanazidi kuja kwa kasi leo hii wamezindua minara ya bilioni 50 mikoa 21
Baada ya Dish wamekuja na vya Antenna, hawa jamaa wapo vizuri sana naona kwa sasa Wachina wa Startimes wajiandae kisaikolojia tu maana sidhani kama kuna mtu timamu atatumia vile vidubwashwa vyao.
Kongole Azam media sasa huku kwa vya Antenna ndo mnaenda kusepa na nyomi ya kijiji.