Kwa kauli hii Raila Odinga ataiharibu Kenya kama Magufuli alivyoharibu Tz

Kwa kauli hii Raila Odinga ataiharibu Kenya kama Magufuli alivyoharibu Tz

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Eti kuna mtu kakamatwa anaiba chakula, na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria zao
Jamaa anaamrisha mtu huyo aachiwe haraka kisa eti kuna wanasisa wezi wapo free mtaani

Njia sahihi nafikiri ingekuwa kumlipia faini asifungwe na kama kuna haja ya kurekebisha sheria aahidi kufanya hivyo akiingia madarakani

Wanasiasa kama hawa wanaojifanya ni watetezi wa walalahoi wakiingia madarakani hawafuati sheria wala katiba kwa kisingizio cha kutetea wanyonge, huku wao wakiiba na kuwezesha makundi yao kuiba.

Watafanya maamuzi ya sifa kukomoa watu ili kufurahisha hao walalahoi

Screenshot_20220414-161012.png


Hii inanikumbusha kampeni za JPM
 
Eti kuna mtu kakamatwa anaiba chakula, na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria zao
Jamaa anaamrisha mtu huyo aachiwe haraka kisa eti kuna wanasisa wezi wapo free mtaani

Njia sahihi nafikiri ingekuwa kumlipia faini asifungwe na kama kuna haja ya kurekebisha sheria aahidi kufanya hivyo akiingia madarakani

Wanasiasa kama hawa wanaojifanya ni watetezi wa walalahoi wakiingia madarakani hawafuati sheria wala katiba kwa kisingizio cha kutetea wanyonge, huku wao wakiiba na kuwezesha makundi yao kuiba.

Watafanya maamuzi ya sifa kukomoa watu ili kufurahisha hao walalahoi

View attachment 2187389

Hii inanikumbusha kampeni za JPM
to an extent I agree with you. this type of populism is detrimental to society.

However, he should talk more about what he was alluding in that post which is reviewing the penal code.

lack of money to pay minor court fees should not result in imprisonment otherwise we'll start creating poverty/debt prisons.
 
Aiharibu kivipi? Sema unaogaopa RAO ku-instigate maskini kuvamia maduka ya mabwanyenye! haina uhusiano na JPM! Hamna siku JPM alitetea uporaji!
 
Eti kuna mtu kakamatwa anaiba chakula, na kushtakiwa kwa mujibu wa sheria zao
Jamaa anaamrisha mtu huyo aachiwe haraka kisa eti kuna wanasisa wezi wapo free mtaani

Njia sahihi nafikiri ingekuwa kumlipia faini asifungwe na kama kuna haja ya kurekebisha sheria aahidi kufanya hivyo akiingia madarakani

Wanasiasa kama hawa wanaojifanya ni watetezi wa walalahoi wakiingia madarakani hawafuati sheria wala katiba kwa kisingizio cha kutetea wanyonge, huku wao wakiiba na kuwezesha makundi yao kuiba.

Watafanya maamuzi ya sifa kukomoa watu ili kufurahisha hao walalahoi

View attachment 2187389

Hii inanikumbusha kampeni za JPM
alilipiwa fine hiyo ya 100k ksh.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Hamuzielewi siasa za Kenya, tweet mmeilewa tu juu juu, ila 'context' yake imewapita kushoto. Point ya tweet yote hiyo ni hii, ...criminals are now getting a reprieve to campaign freely... Hapo RAO anajaribu kumchafua mpizani wake, DP William Ruto.
 
Hapo Raila anampiga vijembe mpinzani wake, wala haihusiani na hilo tukio, siasa za Kenya raundi hii hazinifurahishi, kila nikikaa tayari kuwaskliza ili nifanye maamuzi huru ya nani wa kumpigia, nakutana na vijembe tu wanavyotupiana, hakuna anayetiririka sera.
Wapambe na washauri wao wawape ushauri upasao, kwamba wachomekee sera pia kwenye kauli zao sio vijembe kutwa nzima.

Kenya sio kama Tanzania kule ambapo mgombea wa CCM ana uhakika wa kuukwa urais, hata akipiga pushups nchi yote bila kuongea sera, atakua rais yaani automatic.
 
Hapo Raila anampiga vijembe mpinzani wake, wala haihusiani na hilo tukio, siasa za Kenya raundi hii hazinifurahishi, kila nikikaa tayari kuwaskliza ili nifanye maamuzi huru ya nani wa kumpigia, nakutana na vijembe tu wanavyotupiana, hakuna anayetiririka sera.
Wapambe na washauri wao wawape ushauri upasao, kwamba wachomekee sera pia kwenye kauli zao sio vijembe kutwa nzima.

Kenya sio kama Tanzania kule ambapo mgombea wa CCM ana uhakika wa kuukwa urais, hata akipiga pushups nchi yote bila kuongea sera, atakua rais yaani automatic.
Siasa za Kenya mbona ndio zipo predictable kuliko hata za Tanzania?

Watu wale wale sema wanabadilisha majina ya vyama tu
 
Siasa za Kenya mbona ndio zipo predictable kuliko hata za Tanzania?

Watu wale wale sema wanabadilisha majina ya vyama tu

Tanzania huna hata haja ya ku-predict maana hamna siasa pale, hamjawahi kufanya uchaguzi kwa mujibu wa hawa viongozi wenu hapa

img-20220817-wa0009-jpg.2326316
 
Mageuzi unayoyaona Kenya ya leo 99% ni Raila ka fight,huyo mtu ni balaa ni mtu na nusu,angekuwepo Moi ungemuuliza.Kwa Africa hii watu kama Raila, hayati Etienne Tshisekedi wa DRC ndio wapinzani wa kweli waliopitia maumivu makubwa hadi watawala wakawakubali siyo hizi kenge za kwetu mafisadi na wabinafsi wakubwa akina zitto, mbowe,mbatia,cheyo nk.Wanapiga kelele weeee wakijazwa mapesa tu kelele kwisha
 
fisadi ni wewe na mamako nyumban mwenu msiojielewa wafuas wa walamba asali kupitia tozo wapuuz nyinyi kipindi cha uchaguz kaz kuzunguka na kauli zenu za mama mkanye mwanao saiv mnapigika kwa tozo mnaanza kuwakumbuka kina mbowe pigwen tozo mpaka akili ziwarudi nguruwe nyinyi.
Duh....!
Mzee, kunywa maji.
 
Back
Top Bottom