Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Huu ni mtego kwa Wapinzani kupigwa virungu na Polisi, wakati vyama vya CHADEMA na ACT Wazalendo wakisema baada ya kupiga Kura wafuasi wao wakale kisha warudi vituoni kulinda kura upande wa CCM kupitia Amos Makalla, amesema Mwana CCM akishapiga Kura arudi zake Nyumbani.
Soma, Pia:
• Mwenyekiti wa CHADEMA Katavi: Ninawaomba muwe na hasira mlinde kura zenu na polisi wakija msitishike na mabomu!
• Ezekiah Wenje: Siasa sio ya Kubembeleza, CCM tutaenda nao Mperampera. Ukishapiga kura linda kura
==
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi, Siasa na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi Amos Makalla, amewataka wanachama wote wa CCM kutolinda kura pindi watakapomaliza kupiga kura, bali warudi nyumbani kupumzika.
Akiwa Kata ya Mwananyamala jimbo la Kinondoni, Makalla amesema wanawaamini mawakala wao na ndio maana hawatalinda kura.
Soma, Pia:
• Mwenyekiti wa CHADEMA Katavi: Ninawaomba muwe na hasira mlinde kura zenu na polisi wakija msitishike na mabomu!
• Ezekiah Wenje: Siasa sio ya Kubembeleza, CCM tutaenda nao Mperampera. Ukishapiga kura linda kura
==
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi, Siasa na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi Amos Makalla, amewataka wanachama wote wa CCM kutolinda kura pindi watakapomaliza kupiga kura, bali warudi nyumbani kupumzika.
Akiwa Kata ya Mwananyamala jimbo la Kinondoni, Makalla amesema wanawaamini mawakala wao na ndio maana hawatalinda kura.