Huu ni mtego kwa Wapinzani kupigwa virungu na Polisi, wakati vyama vya CHADEMA na ACT Wazalendo wakisema baada ya kupiga Kura wafuasi wao wakale kisha warudi vituoni kulinda kura upande wa CCM kupitia Amos Makalla, amesema Mwana CCM akishapiga Kura arudi zake Nyumbani.
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi, Siasa na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi Amos Makalla, amewataka wanachama wote wa CCM kutolinda kura pindi watakapomaliza kupiga kura, bali warudi nyumbani kupumzika.
Akiwa Kata ya Mwananyamala jimbo la Kinondoni, Makalla amesema wanawaamini mawakala wao na ndio maana hawatalinda kura.
Huo ndiyo ustaarabu katika demokrasia, piga kura, rudi nyumbani kuskilizia matokeo.
Kuganda kituo cha kupigia kura hali ya kua hauhusiki tena, ni kiashiria cha fujo na vurugu.
Na kwahivyo utachukuliwa hatua muhimu za kukudhibiti ikiwa ni pamoja na kuchezea virungu vya maana vya polisi, ili iwe fundisho kwako na kwa wanaopanga kufanya vitendo viovu kama hivyo.
Aidha, nawatakia nyot uchaguzi mtulivu na wa Amani kwenye maeneo yenu kesho 🐒
Huu ni mtego kwa Wapinzani kupigwa virungu na Polisi, wakati vyama vya CHADEMA na ACT Wazalendo wakisema baada ya kupiga Kura wafuasi wao wakale kisha warudi vituoni kulinda kura upande wa CCM kupitia Amos Makalla, amesema Mwana CCM akishapiga Kura arudi zake Nyumbani.
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi, Siasa na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi Amos Makalla, amewataka wanachama wote wa CCM kutolinda kura pindi watakapomaliza kupiga kura, bali warudi nyumbani kupumzika.
Akiwa Kata ya Mwananyamala jimbo la Kinondoni, Makalla amesema wanawaamini mawakala wao na ndio maana hawatalinda kura.