Kwa kauli hii ya Dr Bashiru ni uhakika wahamiaji kutoka Upinzani akiwemo Mwita Waitara aliyekuwa Chadema hawatarudi bungeni

Kwa kauli hii ya Dr Bashiru ni uhakika wahamiaji kutoka Upinzani akiwemo Mwita Waitara aliyekuwa Chadema hawatarudi bungeni

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Dr Bashiru amesema wabunge wote walioko madarakani watapimwa kwa namna walivyotimiza ahadi zao na jinsi walivyoielezea na kuitekeleza ilani ya CCM.

Kimsingi hakuna mbunge wa upinzani au wale waliohamia CCM aliyetimiza ahadi alizoahidi.

Naibu waziri Mwita Waitara kwa mfano amelikimbia jimbo la Ukonga baada ya kushindwa kutimiza ahadi na kwenda Tarime vijijini.

Dr Bashiru amesema watu wa aina hii wanajidanganya kwa kudhani ukishinda kura za maoni basi unateuliwa, mwaka huu mambo ni tofauti kabisa amesisitiza.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wateuaji ni kamati kuu!

Sasa kura ni za nini kama hilo genge linalojiita kamati kuu ndio linateua? Lengo la hiyo kamati kuu kuteua ni ili kujaza waimba mapambio ya kumtukuza mungu wa Tanzania.
 
Dr Bashiru amesema wabunge wote walioko madarakani watapimwa kwa namna walivyotimiza ahadi zao na jinsi walivyoielezea na kuitekeleza ilani ya CCM.

Kimsingi hakuna mbunge wa upinzani au wale waliohamia CCM aliyetimiza ahadi alizoahidi.

Naibu waziri Mwita Waitara kwa mfano amelikimbia jimbo la ukonga baada ya kushindwa kutimiza ahadi na kwenda Tarime vijijini. Dr Bashiru amesema watu wa aina hii wanajidanganya kwa kudhani ukishinda kura za maoni basi unateuliwa, mwaka huu mambo ni tofauti kabisa amesisitiza.

Maendeleo hayana vyama!
Mtajua wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kura ni za nini kama hilo genge linalojiita kamati kuu ndio linateua? Lengo la hiyo kamati kuu kuteua ni ili kujaza waimba mapambio ya kumtukuza mungu wa Tanzania.
Hapo Chadema mnateuaje?!
 
Wabunge wanajulikana na spika anajuliksna Ndugai labda abadili jinsia. ..
 
Back
Top Bottom