Kwa kauli hii ya Haji Manara alipaswa kukamatwa; Serikali endeleeni tu kumlea huyu

Kwa kauli hii ya Haji Manara alipaswa kukamatwa; Serikali endeleeni tu kumlea huyu

"Rangi ya Kijani ni rangi ya Dini ya Kiislamu na Mtume na hiyo rangi Nyekundu ni ya Shetani na wale upande wa Pili", Haji Manara.

Chanzo: EFM Sports Headquarters leo.

Kwahiyo kwa mujibu wake Haji Manara ni kwamba Waislamu ndiyo wana Dini ya Mungu na Yanga SC wote kwakuwa ni ya Kijani ila Wakristo na wana Simba SC ndiyo wana Dini ya Kishetani na wanapenda rangi Nyekundu.

Makamu wa Rais Dkt. Mpango, Waziri wa Fedha Dkt. Nchemba, Waziri wa Utawala Bora Mzee Mkuchika, Waziri wa Michezo Bashungwa pamoja na Rais Mstaafu Mzee Kikwete endeleeni tu kumpa Jeuri hii Haji Manara kwa hiki akifanyacho ila tusije Kulaumiana.

Namalizia kwa kusema Sadism is inevitable when the situation is alarming (Ukatili hauzuiliki pale hali inapokuwa mbaya )

Haji Manara leo ninakuonya tena. Umeshatutukana hapa Wakristo wote kuwa tunashangilia na kupenda Rangi Nyekundu ambayo ni ya Shetani kama ulivyomaanisha na kwamba Rangi ya Waislamu wote ni ya Kijani ambayo ni ya Mtume.

nacho jua MUNGU hana dini
 
"Rangi ya Kijani ni rangi ya Dini ya Kiislamu na Mtume na hiyo rangi Nyekundu ni ya Shetani na wale upande wa Pili", Haji Manara.

Chanzo: EFM Sports Headquarters leo.

Kwahiyo kwa mujibu wake Haji Manara ni kwamba Waislamu ndiyo wana Dini ya Mungu na Yanga SC wote kwakuwa ni ya Kijani ila Wakristo na wana Simba SC ndiyo wana Dini ya Kishetani na wanapenda rangi Nyekundu.

Makamu wa Rais Dkt. Mpango, Waziri wa Fedha Dkt. Nchemba, Waziri wa Utawala Bora Mzee Mkuchika, Waziri wa Michezo Bashungwa pamoja na Rais Mstaafu Mzee Kikwete endeleeni tu kumpa Jeuri hii Haji Manara kwa hiki akifanyacho ila tusije Kulaumiana.

Namalizia kwa kusema Sadism is inevitable when the situation is alarming (Ukatili hauzuiliki pale hali inapokuwa mbaya )

Haji Manara leo ninakuonya tena. Umeshatutukana hapa Wakristo wote kuwa tunashangilia na kupenda Rangi Nyekundu ambayo ni ya Shetani kama ulivyomaanisha na kwamba Rangi ya Waislamu wote ni ya Kijani ambayo ni ya Mtume.
Mbona waeneza uchochezi
 
Haji anajua fika kuwa wakristo ni wavumilivu.
Angetokea mtu akazungumza kinyume chake, leo mpaka BAKWATA ingeingilia kati.
Inferiority complex kwa wausilamu ni kubwa mno
 
"Rangi ya Kijani ni rangi ya Dini ya Kiislamu na Mtume na hiyo rangi Nyekundu ni ya Shetani na wale upande wa Pili", Haji Manara.

Chanzo: EFM Sports Headquarters leo.

Kwahiyo kwa mujibu wake Haji Manara ni kwamba Waislamu ndiyo wana Dini ya Mungu na Yanga SC wote kwakuwa ni ya Kijani ila Wakristo na wana Simba SC ndiyo wana Dini ya Kishetani na wanapenda rangi Nyekundu.

Makamu wa Rais Dkt. Mpango, Waziri wa Fedha Dkt. Nchemba, Waziri wa Utawala Bora Mzee Mkuchika, Waziri wa Michezo Bashungwa pamoja na Rais Mstaafu Mzee Kikwete endeleeni tu kumpa Jeuri hii Haji Manara kwa hiki akifanyacho ila tusije Kulaumiana.

Namalizia kwa kusema Sadism is inevitable when the situation is alarming (Ukatili hauzuiliki pale hali inapokuwa mbaya )

Haji Manara leo ninakuonya tena. Umeshatutukana hapa Wakristo wote kuwa tunashangilia na kupenda Rangi Nyekundu ambayo ni ya Shetani kama ulivyomaanisha na kwamba Rangi ya Waislamu wote ni ya Kijani ambayo ni ya Mtume.
Anayemkimbiza Mwendawazimu ndiye Mwenda wazimu. Jifunze ku-ignore mambo.
 
Nimepitia interview ya Haji Manara aliyofanya EFM nimejiridhisha pasi na shaka hakuna mahali ametamka maneno kama hayo aliyoaandika huu ni uzushi kwa lugha nyingine kuwa makini sana kijana
Umekumbuka kunywa kidonge chako cha Ugonjwa wa Akili unaokusumbua sana leo?
 
Mbona waeneza uchochezi
Nataka Wakristo tumshughulikie Haji Manara ( kwa Maombi ya Kufunga kumuombea Laana kubwa kwa Mungu ) ili aombe radhi, abadilike na asiwe mropokaji tena na ikiwezekana awe tu Mkimya / Mpole sawa?
 
"Rangi ya Kijani ni rangi ya Dini ya Kiislamu na Mtume na hiyo rangi Nyekundu ni ya Shetani na wale upande wa Pili", Haji Manara.

Chanzo: EFM Sports Headquarters leo.

Kwahiyo kwa mujibu wake Haji Manara ni kwamba Waislamu ndiyo wana Dini ya Mungu na Yanga SC wote kwakuwa ni ya Kijani ila Wakristo na wana Simba SC ndiyo wana Dini ya Kishetani na wanapenda rangi Nyekundu.

Makamu wa Rais Dkt. Mpango, Waziri wa Fedha Dkt. Nchemba, Waziri wa Utawala Bora Mzee Mkuchika, Waziri wa Michezo Bashungwa pamoja na Rais Mstaafu Mzee Kikwete endeleeni tu kumpa Jeuri hii Haji Manara kwa hiki akifanyacho ila tusije Kulaumiana.

Namalizia kwa kusema Sadism is inevitable when the situation is alarming (Ukatili hauzuiliki pale hali inapokuwa mbaya )

Haji Manara leo ninakuonya tena. Umeshatutukana hapa Wakristo wote kuwa tunashangilia na kupenda Rangi Nyekundu ambayo ni ya Shetani kama ulivyomaanisha na kwamba Rangi ya Waislamu wote ni ya Kijani ambayo ni ya Mtume.
Una kisirani utafikiri wewe ni serikali us Magufuli. Mara Gwajima, mara Manara. Enzi za kutishia watu wakati wake uliisha mwezi wa 3, 2021.
Nani alikuambia Ukristu una rangi?
Manara kama ajulikanavyo, yuko kwenye mpira, tena wa miguu na si nje ya Simba na Yanga. Anachoongelea daima ni katika eneo hilo tu. Uzushi mwingine zaidi ya hapo hangaika nao wewe unaeuzusha!
 
Una kisirani utafikiri wewe ni serikali us Magufuli. Mara Gwajima, mara Manara. Enzi za kutishia watu wakati wake uliisha mwezi wa 3, 2021.
Nani alikuambia Ukristu una rangi?
Manara kama ajulikanavyo, yuko kwenye mpira, tena wa miguu na si nje ya Simba na Yanga. Anachoongelea daima ni katika eneo hilo tu. Uzushi mwingine zaidi ya hapo hangaika nao wewe unaeuzusha!
Absolute Nonsense...!!!!
 
"Rangi ya Kijani ni rangi ya Dini ya Kiislamu na Mtume na hiyo rangi Nyekundu ni ya Shetani na wale upande wa Pili", Haji Manara.

Chanzo: EFM Sports Headquarters leo.

Kwahiyo kwa mujibu wake Haji Manara ni kwamba Waislamu ndiyo wana Dini ya Mungu na Yanga SC wote kwakuwa ni ya Kijani ila Wakristo na wana Simba SC ndiyo wana Dini ya Kishetani na wanapenda rangi Nyekundu.

Makamu wa Rais Dkt. Mpango, Waziri wa Fedha Dkt. Nchemba, Waziri wa Utawala Bora Mzee Mkuchika, Waziri wa Michezo Bashungwa pamoja na Rais Mstaafu Mzee Kikwete endeleeni tu kumpa Jeuri hii Haji Manara kwa hiki akifanyacho ila tusije Kulaumiana.

Namalizia kwa kusema Sadism is inevitable when the situation is alarming (Ukatili hauzuiliki pale hali inapokuwa mbaya )

Haji Manara leo ninakuonya tena. Umeshatutukana hapa Wakristo wote kuwa tunashangilia na kupenda Rangi Nyekundu ambayo ni ya Shetani kama ulivyomaanisha na kwamba Rangi ya Waislamu wote ni ya Kijani ambayo ni ya Mtume.
Acha uchochezi,wabambikiaji kawaida hutafuta sababu,imekuwaje hujatimiza azma hiyo unawasukumia wengine watekeleze uovu dhidi ya wengine?
 
Hiyo tafsiri yako haina nafasi kwenye masuala ya mpira,sisi tunajua anamaanisha nini kwenye muktadha wa Football la Bongo...Simba na Yanga akili zetu tunajuana wenyewe,usitutoe kwenye mstari
 
Hizo nchi wanajitambua nisingependa kuishi..., yaani mtu unapangiwa mawazo yako na kauli zako ?, Hususan Kauli zenyewe zinatolewa kwenye mambo ya michezo na utani wa jadi ?

Kuna watu wanaitwa Nkana Red Devils au Man U Wanaitwa The Red Devils..., si wewe na nchi zako mgewafungia kabisa kucheza ligi

I might not Agree with what you Say..., but I will Fight to the Death for your Right to Say it...
Akili za kiongozi wao ambaye hayupo, huyu bado yuko ndotoni!
 
Rangi ya Vatican na Kanisa Katoliki ni njano na nyeupe, simba na yanga kotekote ipo, msameheni bure huyu ndugu yetu anatafta riziki, hali ni ngumu mtaani, hata wewe ungepewa nafasi utukane watoto wako wale usingeachia ipite.
 
tulia, legeza tako dawa ikuingie sawasawa sindano isivunjikie takoni. Wanasimba dawa ishaanza kuwaingia mlikuwa mnampenda sana manara. Kuamia kwake yanga kimewauma sana, kubalianeni na matokeo hamna namna.
Sisi ndo yanga [emoji123][emoji123][emoji123]
 
Back
Top Bottom