Kwa kauli hii ya Rais Samia, Kamanda Mtafungwa bora ujiengue mwenyewe

Kwa kauli hii ya Rais Samia, Kamanda Mtafungwa bora ujiengue mwenyewe

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
jamiiforums~p~Ch4ZJP5D4hr~1.jpg

Afande Mtafungwa kwa Rais Samia kulalamikia idadi ya ajali kuongezeka nchini nakushauri omba hata likizo ya ugonjwa ili uepuke fedheha ya kutenguliwa.

Vinginevyo, wiki hili halitaisha lazima wakutengue kichwa hapo kikosi cha barabarani.

Usiseme hatujakushtua!
 
Aliondoa TRAFIC Barabarani Ili apitishwe mambo yake anasemaje??
 
View attachment 2340120

Afande Mtafungwa kwa Rais Samia kulalamikia idadi ya ajali kuongezeka nchini nakushauri omba hata likizo ya ugonjwa ili uepuke fedheha ya kutenguliwa.

Vinginevyo, wiki hili halitaisha lazima wakutengue kichwa hapo kikosi cha barabarani.

Usiseme hatujakushtua!
Hamtafungwa, Hatufungwi, Mutafungwa.
 
Back
Top Bottom