Kwa kauli hizi mbili Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said awahi mapema Mirembe Mental Hospital kwa Tina?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kauli #1

*Wote wanaosema kuwa nimewatukana wana Yanga SC kwa kuwaita wala mihogo wapuuzeni kwani ni waongo na sikusema hivyo."

Kauli #2

"Ni kweli nilisema hiyo kauli ili kuwaonyesha wana Yanga SC uchungu nilionao na ninavyojitoa kuipambania Yanga SC yao usiku na mchana, hivyo wabadilike na waache lawama zisizo na msingi."

Yaani kuna mtu GENTAMYCINE namwona kabisa kuwa asipowaomba msamaha (radhi) wana Yanga SC waliochukizwa naye kwa kuwaita wala mihogo kwa kuanza kujichanganya kwake huku taratibu (hasa kwa kauli zake zenye dharau na nyodo) anaenda kuwa taahira sasa hivi tu.
 
Tuwaonee huruma Utopolo... Kupunguza ukali wa maneno.... Kama ambavyo tunaona kumwita mtu zeruzeru ni kumdhalilisha, ni heri tumwite albino .... Napendekeza hawa jamaa Tuwaite Cassava badala ya mihogo....

Maana nyuma mwiko, afu muhogo tena? Afu ukute injinia alikuwa anamaanisha muhogo wa Jang'ombe...

Cassava of Jang'ombe Jangwani...
 

Your browser is not able to display this video.
 
hatuitaji Hersi atuombe msamaha,tunachotaka ndani ya mda wake km raisi atupeleke kimataifa tuiletee nchi kombe la CAF,kolo km kolo we endelea kusheherekea robo fainali zako...hatushtuki hata uende robo fainali miaka mia mfululizo coz hayo ni malengo madogo kwa timu kubwa km Yanga
 
achana na yanga plz
 
wewe ujambe unye humuwezi hersi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…