Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
umejiandikia tu kama ambavyo nategemea nikiona mada zako.
Amini usiamini hiki ni kikwazo kimoja wapo kikubwa kwa sisi waafrika. Tunamaintain kuplay primitively miaka nenda miaka rudi, hatuna haja ya kuwa wastaarabu.
Naona mmoja mmoja anaelewa na kwenda kuchanja.
Amini usiamini hiki ni kikwazo kimoja wapo kikubwa kwa sisi waafrika. Tunamaintain kuplay primitively miaka nenda miaka rudi, hatuna haja ya kuwa wastaarabu.
Naona mmoja mmoja anaelewa na kwenda kuchanja.