Pre GE2025 Kwa kauli ya Nape kuhusu chaguzi zetu, anastahili kulaumiwa au kupongezwa kwa kuusema ukweli?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata hueleweki!
 
Kweli Paschal akili Huna, kwa hiyo Mwizi akisema ukweli wake kuhusiana na ushiriki wake wa Wazi anapongezwa!
Ukiiba, ukakiri, unapongezwa ama kwa reduced sentence, plea bargain, au unasamehewa!. Hii disclosure ni kitu muhimu sana kwa mustakabali mwema wa chaguzi zetu, this time hakuna bao la mkono.
Hata majizi ya EPA, tuliyasamehe!
P
 
Kura ni mali za wananchi na zina 'value' ya pesa na utashi wa mtu,basically ni uwekezaji kuziiba na kuharibu malengo ni jinai. fullstop
 
Aisee!
 
Kura ni mali za wananchi na zina 'value' ya pesa na utashi wa mtu,basically ni uwekezaji kuziiba na kuharibu malengo ni jinai. fullstop
Hii nchi ni mali ya CCM!, wananchi ni mali yao, kura zao ni mali yao, hadi haki zao ni kwa hisani yao. You can't steal from yourself, ni unachukua tuu, unaweka,
Waa!
P
 
Hiyo ni dalili ya uongozi mzuri wa serikali yetu, wananchi wameridhika na wanaishi bila matatizo na hofu ya maisha.

Ahsante mama Samia, uongozi wa mwendazake nani alikuwa na hamu ya michezo?
 
"mentor" wa siasa wa Nape inabidi asifiwe sana, anajuw kucheza na akili ya wapinzani.

Anafahamu kabisa kuwa hii mijitu haina sera wala haijuwi siasa, wala haina muelekeo wenye maengo. Anajuwa wazi akiwanyikoa hivi wote watahamia kwake na kuwacha mengine.

Hajaanza leo kuwanyokoa.


Heko Nape.
 
Ukiiba, ukakiri, unapongezwa ama kwa reduced sentence, plea bargain, au unasamehewa!. Hii disclosure ni kitu muhimu sana kwa mustakabali mwema wa chaguzi zetu, this time hakuna bao la mkono.
Hata majizi ya EPA, tuliyasamehe!
P


Nakubali, upo sahihi!
 
Nape ni Zero Brain, kichwa kibwa lakini hamna kitu kabisa. Msameheni tu, zaidi sana tumpongeze kwa kueleza ukweli ili tunapoelekea kwenye chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka unaofuata wapinzani wajue watu wa kushughulika nao siku za uchaguzi, yaani WASIMAMIZI WA KITUO CHA KUPIGIA KURA na ambao pia ndo wanaohesabu na kutangaza matokeo.
Hawa WASIMAMIZI WA UCHAGUZI katika kituo cha kupigia kura ni watu tunaoishi nao, tunasafiri nao nk. Inakuwaje anafanya ujinga kama huo halafu badala ya kushughulika naye, tunaanza tu kulalamika eti wameiba kura bila hata kuchukua hatua kali ambazo mtu mwingine haji kurudia tena kuleta ujinga kama huo.
 
Nape on other hand anastahili Pongezi amewasilisha uhalisia kwa controversial language kuwafungua macho raia lakini hayo mengine yamaamuzi ni juu yetu lakini ndio ameshatoa tahadhari ashukuriwe
Mkuu Zegreaty , karibu pande hizi, naunga mkono hoja.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…