Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia hatufai tena, tuimtegemea kumbe naye ni nyoka wa vichwa 7Tunataka bandari zetu
IBARA 4 (2) ya mkataba huu wa Kimangungo inasema endapo Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini, ndio basi. Yaani nchi huru ikaombe ridhaa Dubai? Tena kwa mali zake? Ni kichaa peke yake ndio anaweza kuushabikia mkataba wa aina hii.Bavicha hamtaachwa salama mkiendelea na chokochoko,tena Kauli kama hizi ndio tunazipenda
Sisimizi kamkaba temboAnawaagiza polisi watushughulikie tunahaoji mkataba wa kuiuza tanganyika. Ni rasmi tanganyika tumekuwa koloni la Zanzbar.
Polisi msikubali Tanganyika iuzwe na wazanzibari. Tumieni akili zenu vizuri.
Mbona na wewe una mumunya sasa!Anawaagiza polisi watushughulikie tunahaoji mkataba wa kuiuza tanganyika. Ni rasmi tanganyika tumekuwa koloni la Zanzbar.
Polisi msikubali Tanganyika iuzwe na wazanzibari. Tumieni akili zenu vizuri.
Safari hii, hata mtumie nini, hamponi!Bavicha hamtaachwa salama mkiendelea na chokochoko,tena Kauli kama hizi ndio tunazipenda
Wao wanasema CC na NEC ya CCM imekwishabariki mali za Tanganyika kuuzwa, wanasahau kwamba huko huko CC na NEC ndiko walikojaa waZanzibari wakiamua mambo ambayo hayawahusu kabisa.Naona watu wanahusisha issue ya bandari na UCCM na uCHADEMA.Hii issue inahusu Tanganyika kuuzwa rasilimali zake.Bila kujali tofauti ya vyama ,Watanganyika inabidi tuungane kwenye hili!
Hapana.Kama bado Mwalimu nyerere angekuwa bado hai angejishangaa maamuzi yake yakulazimisha muungano
Hamad Masauni alifukuzwa UVCCM kwa kashfa ya kufoji umri ili aendelee kukalia kiti , Alipunguza umri wake kwa miaka 6 zaidi .Bavicha hamtaachwa salama mkiendelea na chokochoko,tena Kauli kama hizi ndio tunazipenda