Kwa kejeli hizi,Mange Kimambi huwa yuko sahihi sana katika lugha kali anazotumia kuwajibu

Kwa kejeli hizi,Mange Kimambi huwa yuko sahihi sana katika lugha kali anazotumia kuwajibu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huyu dada jana alitumia lugha kali sana dhidi ya kigogo mmoja kufuatia kauli aliyoitoa kuhusu matibabu ya Tundu Lissu huu ukiwa ni muendelezo tu wa namna ambavyo amekuwa akiwachana hawa watu.

Sasa leo kaibuka mwingine(DC mmoja) na nina amini Mange atamchana tu nae kama alivyowachana maboss wake.

Ndugu zangu hawa wenzetu wamekosa utu kabisa hivyo hawastahili heshima yoyote na anachofanya Mange ni size yao kabisa.

Keep it up dada!
 
IMG_0726.jpg
 
Ana jinsi(a) kama ya baba yako,vipi unataka akuoe?Mmeshindwa kujibu hoja sasa mnashindana kuleta vihoja!Wale wanaoitwa wezi wetu waliletwa na anayewaita wezi halafu mnatuhadaa mnapambana na wezi huku mkiwapiga risasi wanaozikosoa sanaa zenu.
Hongera kwa kuhukumu wengine, unamnyooshea kidole mwenzio. Inabidi upimwe mkojo
 
Huyu dada jana alitumia lugha kali sana dhidi ya kigogo mmoja kufuatia kauli aliyoitoa kuhusu matibabu ya Tundu Lissu huu ukiwa ni muendelezo tu wa namba ambavyo amekuwa akiwachana hawa watu.

Sasa leo kaibuka mwingine(.DC mmoja) na nina amini Mange atamchana tu nae kama alivyiwachana maboss wake.

Ndugu zangu hawa wenzetu wamekosa utu hivyo hawastahili heshima yoyote na anachofanya Mange ni size yao kabisa.

Keep it up dada!
UKWELI MTUPU
 
Huyu dada jana alitumia lugha kali sana dhidi ya kigogo mmoja kufuatia kauli aliyoitoa kuhusu matibabu ya Tundu Lissu huu ukiwa ni muendelezo tu wa namba ambavyo amekuwa akiwachana hawa watu.

Sasa leo kaibuka mwingine(.DC mmoja) na nina amini Mange atamchana tu nae kama alivyiwachana maboss wake.

Ndugu zangu hawa wenzetu wamekosa utu hivyo hawastahili heshima yoyote na anachofanya Mange ni size yao kabisa.

Keep it up dada!
Ngoja siku mbowe atakavyodhalilushwa na huyo kah.aba kama alivyomdhalilisha Lowasa.

Ni mpumbav pekee anaeweza kumsapoti mange kwa matusi yake dhidi ya viongozi.

Acha upumbavu ww!!!
 
Huyu dada jana alitumia lugha kali sana dhidi ya kigogo mmoja kufuatia kauli aliyoitoa kuhusu matibabu ya Tundu Lissu huu ukiwa ni muendelezo tu wa namba ambavyo amekuwa akiwachana hawa watu.

Sasa leo kaibuka mwingine(.DC mmoja) na nina amini Mange atamchana tu nae kama alivyiwachana maboss wake.

Ndugu zangu hawa wenzetu wamekosa utu hivyo hawastahili heshima yoyote na anachofanya Mange ni size yao kabisa.

Keep it up dada!


Lkn usisahau huyo huyo Mwanamke ndiye aliyetuambia Lowasa kajinyea na kuweka picha yake suruali ikiwa imelowa matakoni mitandaoni, hivyo wee mwambie keep it up siku ikifika akamgeukia Babako Mbowe usianze kulia lia hapa!
 
Lkn usisahau huyo huyo Mwanamke ndiye aliyetuambia Lowasa kajinyea na kuweka picha yake suruali ikiwa imelowa matakoni mitandaoni, hivyo wee mwambie keep it up siku ikifika akamgeukia Babako Mbowe usianze kulia lia hapa!
Huongea vitu kwa wakati. Huo wakati wa lowasa ulishapita
 
Back
Top Bottom