Huongea vitu kwa wakati. Huo wakati wa lowasa ulishapita
acha unafki wewe!Ile kampeni ya kumchangia Msemaji wenu Mange iliishia wapi
Na app yake imefikisha kiasi gani mpaka sasa
Hahahahahaahha ila hata ww utakua unamkubali kiainaNimetoa tahadhari tu, Kibaolojia Mwanamke hana msimamo leo rafiki yako kesho anakugeuka, kwa sababu Mwanamke huongozwa na hisia, hivyo ipo siku mtamtibua tu hlf awafungulie matusi!
Ni msemaji wa wote hata enzi zile alikua msemaji wa ccm. Muwe wapole its our turnSiku hizi Mange ndo msemaji wa cdm na malipo kwa mwezi wanamlipa. Just imagine picha za lissu icu pale general, mange alizipataje kama hakutumiwa na mtu mzito cdm
Mgonjwa anaeza pona..Mangi ni mgonjwa wa akili, si sawa kushabikia kila upuuzi anaoufanya.
Kuchana ndio nini?Huyu dada jana alitumia lugha kali sana dhidi ya kigogo mmoja kufuatia kauli aliyoitoa kuhusu matibabu ya Tundu Lissu huu ukiwa ni muendelezo tu wa namba ambavyo amekuwa akiwachana hawa watu.
Sasa leo kaibuka mwingine(.DC mmoja) na nina amini Mange atamchana tu nae kama alivyiwachana maboss wake.
Ndugu zangu hawa wenzetu wamekosa utu hivyo hawastahili heshima yoyote na anachofanya Mange ni size yao kabisa.
Keep it up dada!
Jinsia inahusiana vipi na hii madaMtoa mada una jinsia ya kike ama ya kiume?
Ni msemaji wa wote hata enzi zile alikua msemaji wa ccm. Muwe wapole its our turn
Malofa @ work!Ana jinsi(a) kama ya baba yako,vipi unataka akuoe?Mmeshindwa kujibu hoja sasa mnashindana kuleta vihoja!Wale wanaoitwa wezi wetu waliletwa na anayewaita wezi halafu mnatuhadaa mnapambana na wezi huku mkiwapiga risasi wanaozikosoa sanaa zenu.
Hahaaa mwache tuu awasemee maana yuko vizuri upstairsKajojo bana,wasemaji wa ccm wanafahamika,sema alikua vuvuzela wa kujitolea cheki baada ya kukosa ulaji(vyeo alivyotaka nini kikatokea)mbona hajaweka ushahidi wa kuajiriwa na ccm baada ya kunyimwa ulaji.
Ila cdm haina msemaji kila mtu kajipachika cheo hicho wakiongozwa na jemedar wao mange
Katiba gani imebadilishwa tayari?? Ao naww ni kahaba kama yeye.Mange levo nyingine ile! Ana uwezo mkubwa wa kuona mbali. Alisema huu utawala utakuja kubadiri katiba tayar kampen zimeanza. Namkubi mnoo japo sipend lugha yake ya matus
Katiba gani imebadilishwa tayari?? Ao naww ni kahaba kama yeye.
Hahaaa mwache tuu awasemee maana yuko vizuri upstairs
Kweli acha tuu Mange aendelee kuwakomesha msiojielewa maana hata kuandika hujui utamjua kweli au kumuelewa? 😀Mwenyew kahaba hajajuwa mzazi wake na anaudha mbunye huko sasa wew unategemea awe na hadabu??
Ww hatuwezi kuelewana shoga anguHuko upstairs hayupo vizuri full stress