Kwa kejeli hizi,Mange Kimambi huwa yuko sahihi sana katika lugha kali anazotumia kuwajibu

Ngoja siku mbowe atakavyodhalilushwa na huyo kah.aba kama alivyomdhalilisha Lowasa.

Ni mpumbav pekee anaeweza kumsapoti mange kwa matusi yake dhidi ya viongozi.

Acha upumbavu ww!!!
ata yeye akienda nje ya mstari lazima arudishwe kwani yeye nani hapa duniani wananchi tunataka kuona tsh500/= iwe ni sawa na dola 1ya marekani sio hali ya sasa na hili haliwezi kufikiwa kama mambo ya kitaifa yatachanganywa na siasa ingewezekana raisi akishapatikana akikane chama chake wakati wa kuapa aanze kutumikia wananchi
 
Mwenyew kahaba hajajuwa mzazi wake na anaudha mbunye huko sasa wew unategemea awe na hadabu??
Acha kufata mikumbo huo ukahaba alikuuzia na wewe? Eti ANAUDHA ndo nini "kuudha"
 
Mpaka ifike 2020 tutajua maisha ya hao viongozi uchwara ndani nje nje ndani wakirudi uraiani kisaokolojia wataporomoka haraka sana. Maana wanadhalilika. Acha Mange awaanike tu
 
Hawa watu vichwa vyao sidhani kama vipo sawa, kwahiyo wanaumia kuona Lissu akichangiwa?

Hawa hawana uwezo wa kufikiri hata kidogo, hivi hawafikirii kwamba wanaweza kuonekana kama ndio wahusika wa kilichompata mgonjwa?

Mimi ni shahidi akina Mnyika walihoji kuhusu kibiti bungeni, waliambiwa wanaweza kuhusishwa na hao wauwaji wa Kibiti, hawakutaka hata suala la kibiti lizungumzwe.. Leo wanaongea nini hawa??

Kauli nyingine za hawa viongozi zinashangaza kweli
 
Ngoja siku mbowe atakavyodhalilushwa na huyo kah.aba kama alivyomdhalilisha Lowasa.

Ni mpumbav pekee anaeweza kumsapoti mange kwa matusi yake dhidi ya viongozi.

Acha upumbavu ww!!!
Ni punguani anayeweza kuyanyenyekea matusi na kejeli zinazotolewa na wanaojifanya miungu watu.

Umeshindwa kujua kwann raisi analindwa lkn ukoo wenu mzima hamlindwi wkt ni wengi
 
Nimetoa tahadhari tu, Kibaolojia Mwanamke hana msimamo leo rafiki yako kesho anakugeuka, kwa sababu Mwanamke huongozwa na hisia, hivyo ipo siku mtamtibua tu hlf awafungulie matusi!
Hiyo kweli ni baolojia...
 
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kumshabikia Mangi ni sawa na kumshangilia Mwendawazimu anayemtukana jirani yako, siku akikugeukia wewe ndio unaona kumbe inauma.
Duh eti "mangi" ungenyamaza tu
 
Matusi yote ni halali yao cm na viongozi wao wanafiki kabisA maana kwanza wameiuza nchi kwa wageni pili wanaua watetezi halisi wa wanyonge na kulazimisha wao waitwe viongozi wa wanyonge wkt kihalisia ni wahuni tu na wanalitia hasara taifa kila siku kwa maslahi yao.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…