KWA KIBOKO WA WACHAWI PAMEANZA KUCHANGAMKA SASA .ASKOFU EDWARD AMEPANUNUA

KWA KIBOKO WA WACHAWI PAMEANZA KUCHANGAMKA SASA .ASKOFU EDWARD AMEPANUNUA

Nakumbuka mazinge na timu yake walifurushwa msikiti wa sokoni mtwara baada ya kuanza kauli yake ya mashabi 50 wanaompenda Allah wapite mbele watoe laki moja,, baadae ikaja mashababi 100 watoe 50000 baadae ikafikia mashababi wakutoa 5000, chakushangaza pesa zote akachukua yeye,, akasimama mtu akahoji hizo pesa unapeleka wapi mazinge aligoma sana ila watu wakaandamana kuwa hatoki na pesa
Watu hawataki mchezo mbele ya pesa yakhee.
 
PAMEANZA KUCHANGAMKA SASA😂😂

ENEO LILIPOKUWA KANISA LA KIBOKO YA WACHAWI LANUNULIWA NA BISHOP EDWARD, MCHUNGAJI KIONGOZI WA MAKANISA YA BETHELEHEMU REVIVAL CHURCH

BISHOP EDWARD ANASEMA👇👇👇👇

"TUMEMUONDOA MUNGU WA BAALI NA TUMEMLETA MUNGU WA KWELI
Garbage in Garbage Out (GIGO)
 
PAMEANZA KUCHANGAMKA SASA😂😂

ENEO LILIPOKUWA KANISA LA KIBOKO YA WACHAWI LANUNULIWA NA BISHOP EDWARD, MCHUNGAJI KIONGOZI WA MAKANISA YA BETHELEHEMU REVIVAL CHURCH

BISHOP EDWARD ANASEMA👇👇👇👇

"TUMEMUONDOA MUNGU WA BAALI NA TUMEMLETA MUNGU WA KWELI"
Umetoka Mkojo umeingia Kinyesi.
 
Hao akina mazinge wanakuwa na video zao kwenye mihadhara na ndio nikahoji hiyo video iko wapi ?
Sio kweli bwamdogo muulize mtu yeyote anaeswali msikiti wa soko kuu mtwara au waulize wakina mazinge kama unajuana nao
 
Back
Top Bottom