Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakumlaumu ni Julias aliona mkijua kingereza mtakuwa wajanjq kuliko yeyeHiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Huu mwandiko wa Nape Kabisa!Hiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Nashangaa kwanini uko uraiani, kwanini hauko Mirembe, hata jina la wizara hulifahamu?Hiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Ina maana ndani ya Wizara nzima, hakuna anayekifahamu Kiingereza vizuri. Aibu kubwa sana hii, kwa nchi ambayo Kiingereza ni first official language, na ndiyo lugha inayotumika kufundishia masomo karibiu yote mara baada ya elimu ya msingi.Hiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
mother dead, father dead now job. Ndicho kilimpeleka huko India Bandugu... Sirikali hii kila kona ni lojolojo tupu...Hicho ndio Kiingereza cha Minister, Aibu tupu. Mtu kama huyu naye juzi ameshiriki kwenye mkutano wa ITU, inasikitisha sana
Ufahulu umeongezeka kwa 175%Hiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
DuuuuuuHiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Enzi za mwalimu darasa la 8 walikuwa wanaongea kiingereza fasaha kilichokuja kuharibu elimu yetu ni BRNWakumlaumu ni Julias aliona mkijua kingereza mtakuwa wajanjq kuliko yeye
Mna uhakika hii barua ni genuine?Hiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Hata elimu yake ya India kanunua! Mtu mwenye akili unaweza mtambua kwa ongea yake tu. Achilia mbali akili Nape ni mzinzi na mlevi mno hana maadili hata kidogo!! Ajabu hawa ndio watunga sera za kuifikisha Tanzania kaanani!!Nape masters pale Mzumbe alikuwa anafanyiwa mitihani na jamaa mmoja anaitwa Mseti, ni aibu sn ni mtu wa rushwa haswa kichwani ni empty kabisa