Kwa Kiingereza hiki kwenye barua ya ufafanuzi kukamatwa kina Dkt. Slaa heri tuendelee na Kiswahili, ni aibu ya mwaka

Kwa Kiingereza hiki kwenye barua ya ufafanuzi kukamatwa kina Dkt. Slaa heri tuendelee na Kiswahili, ni aibu ya mwaka

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Hiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.

Tumlaumu Waziri au Mwandishi?

IMG-20230817-WA0030.jpg
IMG-20230817-WA0031.jpg
 
Hiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.

Tumlaumu Waziri au Mwandishi?

Ina maana ndani ya Wizara nzima, hakuna anayekifahamu Kiingereza vizuri. Aibu kubwa sana hii, kwa nchi ambayo Kiingereza ni first official language, na ndiyo lugha inayotumika kufundishia masomo karibiu yote mara baada ya elimu ya msingi.
 
Nape masters pale Mzumbe alikuwa anafanyiwa mitihani na jamaa mmoja anaitwa Mseti, ni aibu sn ni mtu wa rushwa haswa kichwani ni empty kabisa
Hata elimu yake ya India kanunua! Mtu mwenye akili unaweza mtambua kwa ongea yake tu. Achilia mbali akili Nape ni mzinzi na mlevi mno hana maadili hata kidogo!! Ajabu hawa ndio watunga sera za kuifikisha Tanzania kaanani!!
 
Back
Top Bottom