Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana Malenga wa CDM aliwapa dongo hapa. Hebu angalia kuanzia 3:22:15 na kuendelea usikie alichowaambia wa kupiga makofi :Ufahulu umeongezeka kwa 175%
Waacheni wao waendelee kupigia sarakasi juu ya meza za ndani ya ukumbi wa Bunge.
Tanzania tunazidi kuabishwaHiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Nimecheka kama bwege wallah huna akiliHuu mwandiko wa Nape Kabisa!
Yaani Nape ndio afanye proof reading, wakati ndio kamfuata huyo jamaa mwenye afadhali aandike hiyo barua?!Mimi nadhani Mhe. Nape kasaini tu ila draft ya barua imetoka kwa Ofisa Mwandamizi wa Wizara LAKINI yeye angefanya proof reading kabla ya kusaini. Structure ya barua haitamaniki. Masters?. No thank you.
Aisee, 🥱🥱🥱Hiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Alikua mbinafsi si ndio?Wakumlaumu ni Julias aliona mkijua kingereza mtakuwa wajanjq kuliko yeye
Ndio maana nimekataa mtaala Mpya kutumia Kiswahili wakati Jumuiya ya Kimataifa inatumia Kingereza.Hiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
DuuuhNape masters pale Mzumbe alikuwa anafanyiwa mitihani na jamaa mmoja anaitwa Mseti, ni aibu sn ni mtu wa rushwa haswa kichwani ni empty kabisa
Hii hamuwezi kuikataaMna uhakika hii barua ni genuine?
Hiki Sasa ndio kikristo halisiNimemwambia chatGPT to fix hiyo heading in proper English, kanipa.....Tanzanian Government's Clarification on Arrest Reports
Wote ni wakulaumiwaHiki ndio Kiingereza cha Serikali ya CCM kikiuandikia ulimwengu.
Tumlaumu Waziri au Mwandishi?
Hovyo snDuuuh