ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
1. Biashara zimeandamwa na makodi ya mamlaka na fremu ilihali uwezo wa ununuaji umepungua
2. Kilimo kinaathiriwa na mabadiliko ya tabia ya nchi na bei kuyumba
3. Mazao ya mifugo hutoa mbolea, nguvu kazi, chakula na bei yake haishuki daima hupanda mfano kuku bei ya 15000-20000 imedumu kwa miaka mingi.
4. Ufugaji rahisi kuanza hata kwa mtaji mdogo
5. Endelea nyingine
2. Kilimo kinaathiriwa na mabadiliko ya tabia ya nchi na bei kuyumba
3. Mazao ya mifugo hutoa mbolea, nguvu kazi, chakula na bei yake haishuki daima hupanda mfano kuku bei ya 15000-20000 imedumu kwa miaka mingi.
4. Ufugaji rahisi kuanza hata kwa mtaji mdogo
5. Endelea nyingine