Kwa kijana anayejitafuta kwenye maisha asijihusishe na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke yeyote

Kwa kijana anayejitafuta kwenye maisha asijihusishe na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke yeyote

Mahusiano naona kabisa ni uwekezaji mkubwa unaohitaji Muda PEsa na nguvu

Kijana tafuta njia ya kuondoa hisia zako kama mazoezi
Kwenda Kwa wahaya

Ila Achana na viumbe wanawake katika hatua zako za mwanzo za utafutaji
Naunga mkono hoja
Kwa kijana ambaye bado anajitafuta au mwanaume yeyote ambaye hajawa tayari kuoa wala kuishi na mwanamke basi acha kabisa kuwa na mahusiano maana hawa mademu wa kizazi hiki ambao kila kukicha vizinga na invoice za kutosha halafu bado unatombewa bora uwe busy na kazi kutengeneza maisha yako ukizidiwa na upwiru pitia kwa wahaya jipatie huduma inayoendana na kipato chako (mara nyingi bei zao ni elekezi)
Tumia pesa yako kula vizuri na
Pesa inayobaki jiwekee akiba mpaka utimize malengo yako.!
 
Mahusiano naona kabisa ni uwekezaji mkubwa unaohitaji Muda PEsa na nguvu

Kijana tafuta njia ya kuondoa hisia zako kama mazoezi
Kwenda Kwa wahaya

Ila Achana na viumbe wanawake katika hatua zako za mwanzo za utafutaji
Nakubaliana na ww wanawake na pombe vinaweza kukatisha ndoto za mvulana anayetafuta pesa za kujenga maisha ya baadae.Kama hujawahi kutumia ni rahisi kushinda lakini kama umewahi kushiriki inakubidi ufanye juhudi za ziada.Unaweza kujikana mwenyewe au kupata ushauri kwa viongozi wa dini.
 
Kweli brother hwajamaa ukiwaendekeza mwisho wako sio mzuri. Nilikua nikitumia gharama nyingi sana(muda na pesa) Kwa Hawa viumbe, sijui malaika gani akanirudishia akili zangu. Saivi pesa Bora niwatumie ndugu zangu nyumbani na mambo yangu yananyooka Sasa.
 
Hapana,atafute wa kuendana nae kwa wakati huo
Akipata pesa hapo ndiyo apambane na maslayqueen
Hapo katika kwenda Kwa wahaya hapo sio sehemu sahihi kabisa.

Ni bora atafute MTU smart ambaye anajielewa au akae single.

Kwenda Kwa wahaya inaweza mpatia Addiction, Pamoja changamoto ngingine za kiroho.
Mahusiano naona kabisa ni uwekezaji mkubwa unaohitaji Muda PEsa na nguvu

Kijana tafuta njia ya kuondoa hisia zako kama mazoezi
Kwenda Kwa wahaya

Ila Achana na viumbe wanawake katika hatua zako za mwanzo za utafutaji
IL swala la kwenda kwa wahaya nalipinga mzee sio salama Ata kidogo ni bora mazoezi au kujikeep busy kujipa ratiba pale Akili ikiwa idle ili kuondoka mawazo potofu
 
Mzee baba nilikuwa na zama sana kwa wahaya kipindi fulani nilikuwa na mwonekano wa kawaida kwahyo kukubali wa na wasichana classic ilikua ni ngumu

Lakini nilicho observe ni kujitakia tu mikosi na mabalaa wale wanawake malaya hawana cha kupoteza imagine mtu ananyonya koni kwa 20k, haya je kanyonya ngapi
Kweli kabisa pia watafute level zao
 
Mzee baba nilikuwa na zama sana kwa wahaya kipindi fulani nilikuwa na mwonekano wa kawaida kwahyo kukubali wa na wasichana classic ilikua ni ngumu

Lakini nilicho observe ni kujitakia tu mikosi na mabalaa wale wanawake malaya hawana cha kupoteza imagine mtu ananyonya koni kwa 20k, haya je kanyonya ngapi
Mwezio yupo kazini eee
 
Back
Top Bottom