Kwa kijana anayejitafuta kwenye maisha asijihusishe na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke yeyote

Kwa kijana anayejitafuta kwenye maisha asijihusishe na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke yeyote

Mahusiano naona kabisa ni uwekezaji mkubwa unaohitaji Muda PEsa na nguvu

Kijana tafuta njia ya kuondoa hisia zako kama mazoezi
Kwenda Kwa wahaya

Ila Achana na viumbe wanawake katika hatua zako za mwanzo za utafutaji
Umeshapigwa na kitu kizito
 
Mzee baba nilikuwa na zama sana kwa wahaya kipindi fulani nilikuwa na mwonekano wa kawaida kwahyo kukubali wa na wasichana classic ilikua ni ngumu

Lakini nilicho observe ni kujitakia tu mikosi na mabalaa wale wanawake malaya hawana cha kupoteza imagine mtu ananyonya koni kwa 20k, haya je kanyonya ngapi
Ukimwi, homa ya inni, buboni, Herpes nje nje
 
Nakuunga mkono mkuu ukiwa unaanza kujitafuta huwezi ukachanganya Mapenz hayo mambo yanaitaji pesa na mda na mifano ipo tunaiona mtaani mwanamke Hana huruma na wewe mtu atakae kuhurumia ni mama yako pekee
 
Back
Top Bottom