Kwa kikosi hiki cha Simba SC, nawashauri mashabiki wajiandae kisaikolojia maana hawatafika popote

Little brain

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2020
Posts
4,282
Reaction score
6,303
Takwimu za Asec mimosa ligi kuu
mechi 7 win 7 point 21 na wanaongoza ligi

Huku upande wa simba mambo yako hivi.
Morrison
Lwanga- injury
Chama
Mugalu
kibu denis- injury

Hawa ni wachezaji watakao kosekana mechi ya shirikisho zidi ya Asec mimosa.

Mimi ni yanga damu ila Kusema kweli simba hawatoboi
 
Watatoboa wameshaandaa paka wa kutosha na kupulizia vyumba dawa Kama kawaida yao lakini bila ivyo awatoboi, nguvu zao zimebaki kwenye nguvu za giza lakini timu ya kucheza uwanjani awana
 
Watatoboa wameshaandaa paka wa kutosha na kupulizia vyumba dawa Kama kawaida yao lakini bila ivyo awatoboi, nguvu zao zimebaki kwenye nguvu za giza lakini timu ya kucheza uwanjani awana
Acha kutukumbusha aibu mliolitia taifa. Hatua ya awali tu , misukule out. Tena kwa kumwagiwa mbegu za kiume ndani na nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…