Kwa kikosi hiki cha Simba SC, nawashauri mashabiki wajiandae kisaikolojia maana hawatafika popote

Unateseka ukiwa eneo gani jombaaa!!
 
Uchawi sio lazima kuruka usiku mkuu
 
Nenda sasa ukatobolewe na kigu chenye ncha kali.
 

Acha Iliad
 
Unasemaje sasa baada ya matokeo shabiki kindaki ndaki wa Yanga FC?
 
Ulikuwa umelewa bila kunywa futa uchafu wako kaka
 
Mama J FC bado unamwiko nyuma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…