Kwa Kikosi hiki hatari cha Yanga SC, nisiwe mnafiki Simba SC tuna kazi na nawaona Yanga SC mabingwa wa Ligi Kuu na watafika mbali CAFCL

Lakini sisi tuna Mzungu wao hawana...!
 
Mbona uwa unamfananisha aziz ki mwenye miezi 2 na chama mwenye miaka 4 hapa TZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…