nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,308
- 7,366
Kwa ufupi tu ni kwamba Kesi ya Mh. Mbowe tangu ianze kuunguruma hadi leo hii kitu nilichojifunza kwa Jeshi letu la polisi linaongozwa kihuni,kikatili na ubabe usio na ulazima kwa maagizo ya IGP NYAKORO SIRRO.
Pia jeshi la polisi limejaa askari wajinga, bumbumbu wa sheria na hata ufahamu wa maisha ya kawaida kwa ujumla.
Ni muda sasa wa Mh. Raisi kumteua IGP mpya atakayesimamia vyema sheria ya jeshi la polisi na kuwaongoza vyema askari wake wasiendelee kutumia ubabe kuonea watu hovyo na kuwabambikia watu hivyo kesi pasipo kuwa na ushahidi wa kutosha.
Kwa ile press aliyoitisha SIRRO kumnanga Mh. Freeman Mbowe hadi muda huu nitapoandika hapa hakutakiwa kuwa ofisini.
Pia jeshi la polisi limejaa askari wajinga, bumbumbu wa sheria na hata ufahamu wa maisha ya kawaida kwa ujumla.
Ni muda sasa wa Mh. Raisi kumteua IGP mpya atakayesimamia vyema sheria ya jeshi la polisi na kuwaongoza vyema askari wake wasiendelee kutumia ubabe kuonea watu hovyo na kuwabambikia watu hivyo kesi pasipo kuwa na ushahidi wa kutosha.
Kwa ile press aliyoitisha SIRRO kumnanga Mh. Freeman Mbowe hadi muda huu nitapoandika hapa hakutakiwa kuwa ofisini.