antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Polisi woote hakuna weledi..Ni muda sasa wa Mh. Raisi kumteua IGP mpya atakayesimamia vyema sheria ya jeshi la polisi na kuwaongoza vyema askari wake wasiendelee kutumia ubabe kuonea watu hovyo na kuwabambikia watu hivyo kesi pasipo kuwa na ushahidi wa kutosha.
Labda ateue kutoka nje ya hilo jeshi