Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Napongeza Serikali ya Mapinduzi Zanzibar KULAANI waliojichukilia sheria mikononi wakidai kupiga marufuku kula adharani
Ningependa pia yule mtalii aliyetuzwa fedha arejeshewe fedha zake na wale waliokamatwa na polisi waachiwe huru.
Wakati huo huo jeshi la polisi lifute kauli yake na DPP Zanzibar ajiuzulu kwa kudanganya umma kwamba kuna sheria inayokataza kula mchana huku akijua anachofanya hakipo kisheria na kinachochea mpasuko.
Mwisho waliotetea jambo hili waone aibu kwa kutokuwa na fikra huru....funga yako isiwe kikwazo kwa wengine
Ningependa pia yule mtalii aliyetuzwa fedha arejeshewe fedha zake na wale waliokamatwa na polisi waachiwe huru.
Wakati huo huo jeshi la polisi lifute kauli yake na DPP Zanzibar ajiuzulu kwa kudanganya umma kwamba kuna sheria inayokataza kula mchana huku akijua anachofanya hakipo kisheria na kinachochea mpasuko.
Mwisho waliotetea jambo hili waone aibu kwa kutokuwa na fikra huru....funga yako isiwe kikwazo kwa wengine