Kwa kina dada tu; ingekuwa wewe ungefanyaje?

<br />
<br />
some how umejaribu kumshauri
 
<br />
<br />
Kweli hapo kuna cha kujifunza. Pia NO RESEARCH NO DATA & NO RIGHT TO SPEAK
 
Pia ujiandae kwa concequences baada ya kutoa taarifa, usishangae huyo shost wako akakugeuzia kibao, mapenzi ya watu waachie wenyewe!!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…