Mi nimeona hapo tu.Jeeeeeeeeeezzzzz......Noname kumbe unajua kubembeleza hio...no wonder jamaa anafaudu sana!
Hapa hommie naona u do ze nidiful asap
afu apo kwen stalking nimecheeeeka hadi mbavu sina jamani una vituko sana wewe Noname....miss u
Mi nimeona hapo tu.
Hapo kwenye red; unaweza kuthibitisha hilo? Ulishanijaribu mimi?
Kwenye blue: Unaponyimwa HAKI YAKO kama ulivosema, hupaswi kuidai?
Kwenye black: Umeolewa ili ukaimbe kwaya kwa mmeo?
Haifai kukasirika au kuzua ugomvi ukinyimwa sababu;
1.Inawezekana kabisa wakati huo hayupo tayari kuna kitu kinamsumbua kichwani,WANAUME TUSIWE WABINAFSI.mtu hataki unalazimisha,si kubaka huko?
wala usimuulize kwa nini hataki, endelea na mambo mengine,piga push up kama 100 hivi ruka kichura chura ,abdala kichwa wazi atalala,na kama alikuwa anakutest akikuona unavyohangaika kumtuliza jamaa,utasikia akisema'basi njooooo'. eeeeh mwanangu,Taratiiibu mzee mwenzangu unaingia bafuni,unaoga ukitoka huko kazi moja.
2.Raha ya mapenzi ni pale mwanamke anapohitaji,mara afanye kituko hiki mara hivi,
au akueleza live kuwa sasa nataka,sasa hapo jamaa yangu wala usipoteze muda,
kazi moja tu..............
3.Inawezekana kabisa,labda shauri ya joto kuna viupele au mchubuko fulani,eeeeh
hadi akuambie,we unataka tu,hayomapenzi......au mateso.
4.Ila akigoma mfululizo zaidi ya wiki moja hapo sasa omba akupe sababu.
5.Ile mikambaku na mibeberu huwapanda ng'ombe na mbuzi wakati wako kwenye heat tu.
usikasirike wala usimlazimishe kama mwenzio hataki.wala huta faidi.
aha kweli bana wiki 3 is too much... I was talking about one to 3 days.... that kind of woman is either very cold au anataka kukukomoa... u know what am saying?
Hehehe! Komrade na kale kakitu umekatwanga lakini?mkuu nilikuwa na mengi yakuchangia lakini majibu yako yametosheleza kila eneo jibu la nyongeza biblia inasema msinyimane
Hapo ndipo huwa jukwaa hili linanifurahisha..sredi inawataka wanaume tu laikini kina FL1 na wadada wengeine wameisoma kana kwamba inawahusu na si okusoma tu na kujibu pia.Mmh.. jamani kwani nyie wanaume mnoba wadaku hivyo?
GS wala sio udaku
unashindana na Mungu sasa!!! mwenyewe alimuumba Adam akaona mmmh mbado kukamilika mamb hapa ngoja nimmege ubavu nimfanzie mwenza yaani Hawa!!!
sasa bila mwanamkw hamna mwanamme na bila mwanamume hakuna mwanamke
kama huamini kaangalie kule kwenye sredi ya '....kwa wakina dada tu....'
dah, nimeipenda hii, yani nimecheka kama chizi, too bad i am seenig it nowDah!
Sijui ni kiswahili kinanipiga chenga au? Hapo kwenye red unasema ndoa zinavunjika BILA SABABU. Je BILA SABABU kwa lugha nyingine ni kunyimwa haki ya tendo la ndoa? Una uthibitisho wowote kuwa KUNYIMANA tendo la ndoa ndio chanzo kikuu cha kuvunjika ndoa?
Hapo kwenye blue: Kama si tendo la ndoa kwanini hatuwaoi dada zetu? Kwa sababu hujui, ngoja nikusaidie kidogo. Sababu kuu ya kwanza kabisa ya watu kuoana ni KUMEGANA KIJUMLA NA KIHALALI!
ha ha ha hommie bora sikuwepo ningeharibu!!Afu nilikuwa nakutafute nikustue uwe makini. Umenielewa au nitumie lugha yetu?
ha ha ha hommie bora sikuwepo ningeharibu!!
kubembeleza ni kawaida as long as it doesnt hurt anyone...Jeeeeeeeeeezzzzz......Noname kumbe unajua kubembeleza hio...no wonder jamaa anafaudu sana!
Hapa hommie naona u do ze nidiful asap
afu apo kwen stalking nimecheeeeka hadi mbavu sina jamani una vituko sana wewe Noname....miss u
Jamani hili mi naona kila mwanaume analo,kwa nini pindi ikitokea mwandani wako akikunyima haki ya ndoa lazima kuwe na UGOMVI either wa chini chini au live na ikitokea ukanyimwa two times au zaidi hapo lazima useme kwa nini inakuwa hivi na moyoni ukiwaza huenda amepata mwingine?Je kama mwenzio hana hiyo hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa nini huwezi muacha tu mpaka useme na kufikiria mengi namna hivyo?ni hoja tu yangu....
duh hayo majibu tosha kabisahapo kwenye red; unaweza kuthibitisha hilo? Ulishanijaribu mimi?
Kwenye blue: Unaponyimwa haki yako kama ulivosema, hupaswi kuidai?
Kwenye black: Umeolewa ili ukaimbe kwaya kwa mmeo?
Kuna tatizo pia kwa wanaume. Mara nyingi tunashindwa kuwandaa mapema wake zetu kwa 'mchezo'. Tukifika kitandani ndio ghafla mtu anaomba 'game'! Kumbe angeweza kuanza kuyatengeneza mazingira ya mchezo mapema zaidi na kusoma alama za nyakati mapema ili kuavoid disappointments uwanjani.
Binamu bwana una maswali kama liafande la geshi
FL1, kumbe nawe dume?