valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,852
- 873
Una miaka mingapi ndugu??
Nashindwa kukujibu kwa sababu inawezekana ndiyo unaanza kujenga CV!!
Ungekuwa veteran mwenzangu ningekueleza zaidi!!
Babu DC!!
Una hamu na makofi mengine au?ndo nani?unacheza!
valid bana,kwani ndoa ni mashindano?
sikupiga kelele,i took it quitely like a man.Kutwangwa ndani kwani siri sasa?
Maisha haya ya extended family, na bint wa kazi wote wanasikia wife akipayuka kwa kukaripia, gafla mvua ya mangumi na vibao inashuka, kumbe ndugu unapigwa na wife. Ivi unapiga kelele au unanyamaza tu akupige mpaka kesho yake uchukue ED kazini?
Au vikizidi nawewe unapiga mayowe?
Dah. Halafu eti unaitwa DADY.
Huoni kuitwa ivo!
Tunaulizana tena mpaka miaka?
CV gani najenga?
Haujui CV lazima zitofautiane?
Mkuu inaezekana mimi ni veteran au si veteran, sijajua kuendana na vigezo vile umeweka kumwita mtu veteran. Ila kutwangwa, hata kibao cha bahati mbaya Na mwanamke haiwezakani.
Yani ni kukukosea heshima kwa kiwango cha juu mnoo.
Kutwangwa ndani kwani siri sasa?
Maisha haya ya extended family, na bint wa kazi wote wanasikia wife akipayuka kwa kukaripia, gafla mvua ya mangumi na vibao inashuka, kumbe ndugu unapigwa na wife. Ivi unapiga kelele au unanyamaza tu akupige mpaka kesho yake uchukue ED kazini?
Au vikizidi nawewe unapiga mayowe?
Dah. Halafu eti unaitwa DADY.
Huoni kuitwa ivo!
funguka mkuu,labda utanisaidia kushusha munkari.
babaeleze papaaa mukulu DC!
hujui hata kupiga ni staili ya mapenzi?
kuna memba mmoja hajafunguka,tena for some inexplicable reasons ka dissapear kwenye huu uzi, lol!
Pole sana,
Sasa tunakueleza kuwa inawezekana tena sana..sometimes inawezakifikia dozi ya asprin..2 kutwa mara 3!!
Ukinipa ruhusa nakudunda...lolna wee unatamani unidunde?
Siyo DAD tu,.....hadi wengine tunaitwa BABU!