valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,852
- 873
Una miaka mingapi ndugu??
Nashindwa kukujibu kwa sababu inawezekana ndiyo unaanza kujenga CV!!
Ungekuwa veteran mwenzangu ningekueleza zaidi!!
Babu DC!!
Tunaulizana tena mpaka miaka?
CV gani najenga?
Haujui CV lazima zitofautiane?
Mkuu inaezekana mimi ni veteran au si veteran, sijajua kuendana na vigezo vile umeweka kumwita mtu veteran. Ila kutwangwa, hata kibao cha bahati mbaya Na mwanamke haiwezakani.
Yani ni kukukosea heshima kwa kiwango cha juu mnoo.