kwa kinababa tu...........

bishanga kakusea huyo, angekufyatua vizuri wala usingeona keyboard, ungelala usingizi au kutafuta maji ya moto ukakande uso. Wanawake nawapenda san, wanachelewa kuchukua hatua once imefika mwisho ndiyo kama hivyo. Kinachofuata (kukuchinja).
 
bishanga kakusea huyo, angekufyatua vizuri wala usingeona keyboard, ungelala usingizi au kutafuta maji ya moto ukakande uso. Wanawake nawapenda san, wanachelewa kuchukua hatua once imefika mwisho ndiyo kama hivyo. Kinachofuata (kukuchinja).
Aisee nimekumisije?.. Mzima weye?
 
Dah. Pole BABU Kwa niaba ya wadau wote wanaotwanga na wife kama punching begs.
Huyo BIBI atakuwa kamrithisha na bint yake. Usishangae siku mkwe wako kaja kwako kushtak kapigwa na wife.
Sio wote wanaeza vumilia na kuficha kichapo wanachopokea.

Mkwe wa namba hiyo hafai na hastahili kuishi na binti yangu...Hapo biashara ya ndoa inakuwa imechina!!

Amrudishe tu ili binti atafute mwanamume wa maana!!

Babu DC!
 
bishanga kakusea huyo, angekufyatua vizuri wala usingeona keyboard, ungelala usingizi au kutafuta maji ya moto ukakande uso. Wanawake nawapenda san, wanachelewa kuchukua hatua once imefika mwisho ndiyo kama hivyo. Kinachofuata (kukuchinja).

That's the normal outcome ...baada ya kudundwa..mengine ni redundant!!

Babu DC!!
 
kumbe wanaume hawafai kutendwa eeh.. Inaonyesha na wewe hua unatenda sasa leo zamu
yako
kebi,la'aziz hata siku moja sijawahi kumgusa,yeye tu wazimu wake.
 
bishanga kakusea huyo, angekufyatua vizuri wala usingeona keyboard, ungelala usingizi au kutafuta maji ya moto ukakande uso. Wanawake nawapenda san, wanachelewa kuchukua hatua once imefika mwisho ndiyo kama hivyo. Kinachofuata (kukuchinja).
ama kweli,leo nimeamini kumbe kweli dunia uwanja wa fujo!
 
Bishanga Abishaija. . .
Tajiri la Kihaya. . .
Mkali kama fire. . .
Yani nimeona unatafuta namba yangu mpya nikajisikia vibaya kweli. Yani ukorofi nilete mimi wa kunitafuta uwe wewe kwakua mi kiburi kimenijaa mpaka mashavuni. Naomba unisamehe mpenzi, nisamehe. . nisamehe. Nilikua nimekasirika wakati nafanya vile hata sikuwa nafikiria, ila sasa najua kile kitendo hakikua sahihi kabisa. Sasa hivi najua thamani yangu kwako na yako kwangu. . . sitaki tupotezane hivyo naomba unipokee nyumbani. Sasa hivi niko hapa nje kwente taxi nasubiria uniruhusu kurudi tuanze upya mapenzi na maisha yetu.

Nakupenda sana Bishanga. . .
Japo hujanifurahisha kuleta mambo yetu huku nasahau hilo ili tuanze upya. Naomba unipokee tafadhali.
 


Haya ndiyo tuliyomwambia toka jana...kwamba dawa ya moto ni moto!

Bora muyamalize ili mdogo wangu asijekuwa kichaa bure!!

Babu DC
 
Isije ikawa huyo anafanya kazi JKT lakini hayo yote yanaonesha mapenzi aliyokuwa nayo kwako.ucjali nawe mpige la mapenzi.lol!
ushawahi kupigwa na mkeo/gf wako? How did you react? Ulilipiza?uliuchuna? Ulimfungulia RB?uliita kikao cha wazazi? Ulifanya nini?
Ninalogoff maana leo nimetendwa and i just can't take it na aliyenitenda bahati mbaya yuko humu humu jf.
 
Kwa poem baada ya Shaban Robert na Mathias Mnyampala (wote marehemu,RIP) unafuata wewe kwa umahiri.
Haya bana yameisha lakini usinibamize tena (tena mbele ya watoto?).
Kwa post hii I hereby declare zis useful thread closed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…