Kwa kinachoendelea ni dhahiri kulikuwa na mipango ya kumuondoa Mbowe CHADEMA sema Mwamba alistuka mapema

Kwa kinachoendelea ni dhahiri kulikuwa na mipango ya kumuondoa Mbowe CHADEMA sema Mwamba alistuka mapema

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
Just Imagine Msigwa,Heche,Lema na wenzao wangeshinda kwenye Kanda wakamuweka Mbowe mtu kati halafu Lissu akachukua Fomu nini kingetokea?

Lialia ya Msigwa,Lema na Heche na yanayoendelea kwa Lissu sasa hivi yanatafakarisha na kuleta majibu mengi sana ya kwanini Agenda ya kulamba asali ilianzishwa hapo nyuma na imeendelea kupiganiwa kwa sura ya Rushwa kwenye Chama, inaonyesha huu ulikuwa Mkakati.

Binafsi nakubali kazi na Ujasiri wa Lema,Lissu na Heche na kazi waliyoifanya katika Mageuzi na kujenga Demokrasia hapa nchini ila katika hili la kusambaratisha CHADEMA wapigania mabadiliko hawatawasamehe,nina uhakika watapotea wao na CHADEMA itaendelea kuwepo.

Binafsi nilitamani wote wabaki na vyeo vyao kama vilivyo na zaidi Heche akabidhiwe Kanda ya Serengeti waendeleze Libeneke, na Mbowe nae aambiwe abadili Siasa zake aingie kwenye Hard Politics ili kuipa pressure system ilete Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi ya ukweli, ila sikubaliani na kuchafuana na kushughulikiana.

Namuona Lissu akishindwa kumuondoa Jabali Mbowe,na Lissu nje ya CHADEMA namuona akipoteza Credibility yote aliyoijenga kwa Gharama kubwa na akienda ACT ataisha kisiasa kabisa bora akafanye mambo yake mengine.

Take it from me Watanzania wengi wanailinda CHADEMA isife ndiyo maana kuondoka kwa Magiant wengi kama Zitto,Slaa,Kaburu,Msigwa,Covid 19,Mamia ya waunga juhudi nk bado kumeiacha CHADEMA.Je Lissu atapita njia hiyohiyo?

Tutarudi hapa baadae kuonyeshana haya matokeo kama Magiant yatafanikiwa kuondoana CHADEMA
 
Just Imagine Msigwa,Heche,Lema na wenzao wangeshinda kwenye Kanda wakamuweka Mbowe mtu kati halafu Lissu akachukua Fomu nini kingetokea?

Lialia ya Msigwa,Lema na Heche na yanayoendelea kwa Lissu sasa hivi yanatafakarisha na kuleta majibu mengi sana ya kwanini Agenda ya kulamba asali ilianzishwa hapo nyuma na imeendelea kupiganiwa kwa sura ya Rushwa kwenye Chama, inaonyesha huu ulikuwa Mkakati.

Binafsi nakubali kazi na Ujasiri wa Lema,Lissu na Heche na kazi waliyoifanya katika Mageuzi na kujenga Demokrasia hapa nchini ila katika hili la kusambaratisha CHADEMA wapigania mabadiliko hawatawasamehe,nina uhakika watapotea wao na CHADEMA itaendelea kuwepo.

Binafsi nilitamani wote wabaki na vyeo vyao kama vilivyo na zaidi Heche akabidhiwe Kanda ya Serengeti waendeleze Libeneke, na Mbowe nae aambiwe abadili Siasa zake aingie kwenye Hard Politics ili kuipa pressure system ilete Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi ya ukweli, ila sikubaliani na kuchafuana na kushughulikiana.

Namuona Lissu akishindwa kumuondoa Jabali Mbowe,na Lissu nje ya CHADEMA namuona akipoteza Credibility yote aliyoijenga kwa Gharama kubwa na akienda ACT ataisha kisiasa kabisa bora akafanye mambo yake mengine.

Take it from me Watanzania wengi wanailinda CHADEMA isife ndiyo maana kuondoka kwa Magiant wengi kama Zitto,Slaa,Kaburu,Msigwa,Covid 19,Mamia ya waunga juhudi nk bado kumeiacha CHADEMA.Je Lissu atapita njia hiyohiyo?

Tutarudi hapa baadae kuonyeshana haya matokeo kama Magiant yatafanikiwa kuondoana CHADEMA
Huko sahihi 110%
 
Just Imagine Msigwa,Heche,Lema na wenzao wangeshinda kwenye Kanda wakamuweka Mbowe mtu kati halafu Lissu akachukua Fomu nini kingetokea?

Lialia ya Msigwa,Lema na Heche na yanayoendelea kwa Lissu sasa hivi yanatafakarisha na kuleta majibu mengi sana ya kwanini Agenda ya kulamba asali ilianzishwa hapo nyuma na imeendelea kupiganiwa kwa sura ya Rushwa kwenye Chama, inaonyesha huu ulikuwa Mkakati.

Binafsi nakubali kazi na Ujasiri wa Lema,Lissu na Heche na kazi waliyoifanya katika Mageuzi na kujenga Demokrasia hapa nchini ila katika hili la kusambaratisha CHADEMA wapigania mabadiliko hawatawasamehe,nina uhakika watapotea wao na CHADEMA itaendelea kuwepo.

Binafsi nilitamani wote wabaki na vyeo vyao kama vilivyo na zaidi Heche akabidhiwe Kanda ya Serengeti waendeleze Libeneke, na Mbowe nae aambiwe abadili Siasa zake aingie kwenye Hard Politics ili kuipa pressure system ilete Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi ya ukweli, ila sikubaliani na kuchafuana na kushughulikiana.

Namuona Lissu akishindwa kumuondoa Jabali Mbowe,na Lissu nje ya CHADEMA namuona akipoteza Credibility yote aliyoijenga kwa Gharama kubwa na akienda ACT ataisha kisiasa kabisa bora akafanye mambo yake mengine.

Take it from me Watanzania wengi wanailinda CHADEMA isife ndiyo maana kuondoka kwa Magiant wengi kama Zitto,Slaa,Kaburu,Msigwa,Covid 19,Mamia ya waunga juhudi nk bado kumeiacha CHADEMA.Je Lissu atapita njia hiyohiyo?

Tutarudi hapa baadae kuonyeshana haya matokeo kama Magiant yatafanikiwa kuondoana CHADEMA
Mbowe akiendelea kubaki chadema kama mwenyekiti, utakuwa mwanzo wa chadema kuporomoka kwa Kasi, mbowe amefika mwisho, vinginevyo atafutiwe kitengo ndani ya chama kama Baraza la wadhamini nk.Kugombea uongozi ndani ya chama inakuwaje kusambaratisha chama?
 
Hivi yule mzee lengo lake hasa ni nini hapo Chadema na ni kwanini hataki kung'oka hata kwa katapila
 
Natamani kuona Lissu, Heche na Lemma wakijiunga na CCM ili Mbowe tuone kama atalamba tena asali kwa chama Cha level ya CUF au TLP
Ikifika hapo chadema itakuwa imefika mwisho, kwa sasa mbowe aangalie maslahi mapana ya chama kuliko ubinafsi
 
Just Imagine Msigwa,Heche,Lema na wenzao wangeshinda kwenye Kanda wakamuweka Mbowe mtu kati halafu Lissu akachukua Fomu nini kingetokea?

Lialia ya Msigwa,Lema na Heche na yanayoendelea kwa Lissu sasa hivi yanatafakarisha na kuleta majibu mengi sana ya kwanini Agenda ya kulamba asali ilianzishwa hapo nyuma na imeendelea kupiganiwa kwa sura ya Rushwa kwenye Chama, inaonyesha huu ulikuwa Mkakati.

Binafsi nakubali kazi na Ujasiri wa Lema,Lissu na Heche na kazi waliyoifanya katika Mageuzi na kujenga Demokrasia hapa nchini ila katika hili la kusambaratisha CHADEMA wapigania mabadiliko hawatawasamehe,nina uhakika watapotea wao na CHADEMA itaendelea kuwepo.

Binafsi nilitamani wote wabaki na vyeo vyao kama vilivyo na zaidi Heche akabidhiwe Kanda ya Serengeti waendeleze Libeneke, na Mbowe nae aambiwe abadili Siasa zake aingie kwenye Hard Politics ili kuipa pressure system ilete Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi ya ukweli, ila sikubaliani na kuchafuana na kushughulikiana.

Namuona Lissu akishindwa kumuondoa Jabali Mbowe,na Lissu nje ya CHADEMA namuona akipoteza Credibility yote aliyoijenga kwa Gharama kubwa na akienda ACT ataisha kisiasa kabisa bora akafanye mambo yake mengine.

Take it from me Watanzania wengi wanailinda CHADEMA isife ndiyo maana kuondoka kwa Magiant wengi kama Zitto,Slaa,Kaburu,Msigwa,Covid 19,Mamia ya waunga juhudi nk bado kumeiacha CHADEMA.Je Lissu atapita njia hiyohiyo?

Tutarudi hapa baadae kuonyeshana haya matokeo kama Magiant yatafanikiwa kuondoana CHADEMA
Mkuu ni lazima ukubali kuangalia upinzani beyond kiongozi. Staying for too long is not healthy. 'Umuseveni' kwenye upinzani hauna maana.

Miaka 30 ni umri wa mtu mzima, zaidi ya hapo ni lazima kiongozi aharibu hata yale mazuri alyoyafanya hapo awali.

Mrema aling'ang,ania uongozi weee mpaka akafa na chama cha TLP. Mbatia naye yasingekuwa mapinduzi, naye alikuwa anafuata mkondo wa Mrema.

Lipumba naye sarakasi ni hizo hizo za kuzikwa na chama na bila shaka naye kajifunza kwa Museveni. Njoo kwa mzee Cheyo it is even worse than the rest!!

Mkuu haiwezekani watu wote wawe ni wasaliti linapokuja suala la kubadili uongozi uliokaa muda mrefu. Change is like rest!! Kila jambo huenda na wakati.

Usisahau kauli yenu huko nyuma kwa chama tawala almaarufu kwamba; nanukuu, "Huwezi kutegemea mfumo ulioleta matatizo kuleta majawabu sahihi" mwisho wa kunukuu.

Kauli ile, huu ndio muda muafaka wa kuitumia.

Wanaotaka mabadiliko sasa wako sahihi kwa muda sahihi. Ni tatizo na upunguani wa akili kuamini kuwa hakuna mtu mwingine anaweza kuongoza chama vizuri isipokuwa kiongozi aliyepo madarakani.

Haiwezekani Chacha Wangwe, ZItto Kabwe, Sumaye na sasa Tundu Lissu. Wote wawe wrong when it comes to leadership change!! Hawa wote kwa nyakati tofauti wawe ni wasaliti, sio kweli!!!

Bila kumung'unya maneno shida ni uongozi, shida ipo kwenye uongozi na ni kubwa kuliko inavyoonekana!!

Kimsingi anayenufaika zaidi na utaratibu huu wa viongozi kung'ang'ania uongozi ndani ya upinzani ni chama tawala.

Mkuu uongozi wa Chadema kwa sasa hauna mbinu mpya wala mtazamo mpya, wamefika kwenye ukuta. Mabadiliko ya uongozi hayaepukiki.

Kwa sasa huo ni mvinyo ule ule ndani ya bilauri ile ya zamani!!!
 
Just Imagine Msigwa,Heche,Lema na wenzao wangeshinda kwenye Kanda wakamuweka Mbowe mtu kati halafu Lissu akachukua Fomu nini kingetokea?

Lialia ya Msigwa,Lema na Heche na yanayoendelea kwa Lissu sasa hivi yanatafakarisha na kuleta majibu mengi sana ya kwanini Agenda ya kulamba asali ilianzishwa hapo nyuma na imeendelea kupiganiwa kwa sura ya Rushwa kwenye Chama, inaonyesha huu ulikuwa Mkakati.

Binafsi nakubali kazi na Ujasiri wa Lema,Lissu na Heche na kazi waliyoifanya katika Mageuzi na kujenga Demokrasia hapa nchini ila katika hili la kusambaratisha CHADEMA wapigania mabadiliko hawatawasamehe,nina uhakika watapotea wao na CHADEMA itaendelea kuwepo.

Binafsi nilitamani wote wabaki na vyeo vyao kama vilivyo na zaidi Heche akabidhiwe Kanda ya Serengeti waendeleze Libeneke, na Mbowe nae aambiwe abadili Siasa zake aingie kwenye Hard Politics ili kuipa pressure system ilete Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi ya ukweli, ila sikubaliani na kuchafuana na kushughulikiana.

Namuona Lissu akishindwa kumuondoa Jabali Mbowe,na Lissu nje ya CHADEMA namuona akipoteza Credibility yote aliyoijenga kwa Gharama kubwa na akienda ACT ataisha kisiasa kabisa bora akafanye mambo yake mengine.

Take it from me Watanzania wengi wanailinda CHADEMA isife ndiyo maana kuondoka kwa Magiant wengi kama Zitto,Slaa,Kaburu,Msigwa,Covid 19,Mamia ya waunga juhudi nk bado kumeiacha CHADEMA.Je Lissu atapita njia hiyohiyo?

Tutarudi hapa baadae kuonyeshana haya matokeo kama Magiant yatafanikiwa kuondoana CHADEMA
😄😄ila asali ni balaa
 
Mkuu ni lazima ukubali kuangalia upinzani beyond kiongozi. Staying for too long is not healthy. 'Umuseveni' kwenye upinzani hauna maana.

Miaka 30 ni umri wa mtu mzima, zaidi ya hapo ni lazima kiongozi aharibu hata yale mazuri alyoyafanya hapo awali.

Mrema aling'ang,ania uongozi weee mpaka akafa na chama cha TLP. Mbatia naye yasingekuwa mapinduzi, naye alikuwa anafuata mkondo wa Mrema.

Lipumba naye sarakasi ni hizo hizo za kuzikwa na chama na bila shaka naye kajifunza kwa museveni. Njoo kwa mzee Cheyo it is even worse than the rest!!

Mkuu haiwezekani watu wote wawe ni wasaliti linapokuja suala la kubadili uongozi uliokaa muda mrefu. Change is like rest!! Kila jambo huenda na wakati.

Usisahau kauli yenu huko nyuma kwa chama tawala almaarufu kuwa huwezi kutegemea mfumo ulioleta matatizo kuleta na majawabu sahihi. Kauli ile ndio muda mwuafaka.

Wanaotaka mabadiliko sasa wako sahihi kwa muda sahihi. Ni tatizo na upunguani wa akili kuamini kuwa hakuna mtu mwingine anaweza kuongoza chama vizuri isipokuwa kiongozi aliyepo.

Haiwezekani Chacha, wangwe, ZItto Kabwe, Sumaye na sasa Tundu Lissu. Hawa wote wawe wote wawe wrong when it comes to leadership change!! Hawa wote kwa nyakati tofauti wawe ni wasaliti, sio kweli!!!

Bila kumung'unya maneno shida ni uongozi, shida ipo kwenye uongozi na ni kubwa kuliko inavyoonekana!!

Mkuu uongozi wa Chadema kwa sasa hauna mbinu mpya wala mtazamo mpya, wamefika kwenye ukuta.

Kwa sasa huo ni mvinyo ule ule ndani ya bilauri ile ya zamani!!!
That's fact, vyama vingi vya upinzani havijijengi kitaasisi ndo maana wanaabudu watu, kwangu serikali Ina nafasi kutengeneza mifumo kujenga vyama hivi kitaasisi, Demokrasia zianzie ndani Kisha ziende ngazi ya kiserikali.Kupisha nguvu mpya kiuongozi ni nafasi ya kujijenga upya pia.Kwa maoni yangu chadema watoe nafasi kwa watu wapya
 
Just Imagine Msigwa,Heche,Lema na wenzao wangeshinda kwenye Kanda wakamuweka Mbowe mtu kati halafu Lissu akachukua Fomu nini kingetokea?

Lialia ya Msigwa,Lema na Heche na yanayoendelea kwa Lissu sasa hivi yanatafakarisha na kuleta majibu mengi sana ya kwanini Agenda ya kulamba asali ilianzishwa hapo nyuma na imeendelea kupiganiwa kwa sura ya Rushwa kwenye Chama, inaonyesha huu ulikuwa Mkakati.

Binafsi nakubali kazi na Ujasiri wa Lema,Lissu na Heche na kazi waliyoifanya katika Mageuzi na kujenga Demokrasia hapa nchini ila katika hili la kusambaratisha CHADEMA wapigania mabadiliko hawatawasamehe,nina uhakika watapotea wao na CHADEMA itaendelea kuwepo.

Binafsi nilitamani wote wabaki na vyeo vyao kama vilivyo na zaidi Heche akabidhiwe Kanda ya Serengeti waendeleze Libeneke, na Mbowe nae aambiwe abadili Siasa zake aingie kwenye Hard Politics ili kuipa pressure system ilete Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi ya ukweli, ila sikubaliani na kuchafuana na kushughulikiana.

Namuona Lissu akishindwa kumuondoa Jabali Mbowe,na Lissu nje ya CHADEMA namuona akipoteza Credibility yote aliyoijenga kwa Gharama kubwa na akienda ACT ataisha kisiasa kabisa bora akafanye mambo yake mengine.

Take it from me Watanzania wengi wanailinda CHADEMA isife ndiyo maana kuondoka kwa Magiant wengi kama Zitto,Slaa,Kaburu,Msigwa,Covid 19,Mamia ya waunga juhudi nk bado kumeiacha CHADEMA.Je Lissu atapita njia hiyohiyo?

Tutarudi hapa baadae kuonyeshana haya matokeo kama Magiant yatafanikiwa kuondoana CHADEMA
Siasa ni circus flani inayofikirisha sana, kila mtu huwa na faida na hasara zake lakini take it from me pamoja na kwamba Mbowe si mjuvi wa siasa za majukwaani lakini apart from him sioni mtu mwenye 'personality' ya kukishikilia chama kikawa 'kimoja' among vigogo wote waliopo kwenye hicho chama kwa sasa.
Yaani unless aendelee japo kuwa 'power behind the scenes' mbele awekwe mtu wa 'parapata' na maneno makali to shake the political atmosphere,kuwa anakinukisha, vijana wanataka zaidi mtu wa kuchafua hali ya hewa every now and then jambo ambalo Mbowe haliwezi lakini na upande wa chama tawala wanatamani Mbowe atoke kabisa aachie ngazi kwa imani kwamba akitoka chama kitayakuta yaliyokikuta NCCR-Mageuzi what they've tried hard kukifanya hivyo lakini Mbowe mara zote huwa some steps ahead of them, kama wamefanikiwa ku-survive kipindi cha Mwendakuzimu wakisambaratishwa this time around utakuwa ni upuuzi uliokithiri.
Behind the scenes lazima wakae watu wa strategies, watu wenye uwezo wa kuzisoma 'dirty tactics' from miles away na ku-control sellouts the likes of Slaa, nani alitegemea alichokifanya Slaa which means angepewa uongozi back then hapa CHADEMA wala isingekuwa mjadala humu janvini, kingekuwa long gone and forgotten.
Panatakiwa aina ya mtu ambaye 'mvua inyeshe jua liwake' kamwe hauwezi kuingia CCM,yaani mtu ambaye no matter what hawezi kuingia CCM and ni wachache sana na mioyo ya watu ni vichaka nobody knows what's deep inside.
 
Siasa ni circus flani inayofikirisha sana, kila mtu huwa na faida na hasara zake lakini take it from me pamoja na kwamba Mbowe si mjuvi wa siasa za majukwaani lakini apart from him sioni mtu mwenye 'personality' ya kukishikilia chama kikawa 'kimoja' among vigogo wote waliopo kwenye hicho chama kwa sasa.
Yaani unless aendelee japo kuwa 'power behind the scenes' mbele awekwe mtu wa 'parapata' na maneno makali to shake the political atmosphere,kuwa anakinukisha, vijana wanataka zaidi mtu wa kuchafua hali ya hewa every now and then jambo ambalo Mbowe haliwezi lakini na upande wa chama tawala wanatamani Mbowe atoke kabisa aachie ngazi kwa imani kwamba akitoka chama kitayakuta yaliyokikuta NCCR-Mageuzi what they've tried hard kukifanya hivyo lakini Mbowe mara zote huwa some steps ahead of them, kama wamefanikiwa ku-survive kipindi cha Mwendakuzimu wakisambaratishwa this time around utakuwa ni upuuzi uliokithiri.
Behind the scenes lazima wakae watu wa strategies, watu wenye uwezo wa kuzisoma 'dirty tactics' from miles away na ku-control sellouts the likes of Slaa, nani alitegemea alichokifanya Slaa which means angepewa uongozi back then hapa CHADEMA wala isingekuwa mjadala humu janvini, kingekuwa long gone and forgotten.
Panatakiwa aina ya mtu ambaye 'mvua inyeshe jua liwake' kamwe hauwezi kuingia CCM,yaani mtu ambaye no matter what hawezi kuingia CCM and ni wachache sana na mioyo ya watu ni vichaka nobody knows what's deep inside.
🙋‍♂️🎯👌👍👏👊🤝🙏💐🗼🛡️
 
Siasa ni circus flani inayofikirisha sana, kila mtu huwa na faida na hasara zake lakini take it from me pamoja na kwamba Mbowe si mjuvi wa siasa za majukwaani lakini apart from him sioni mtu mwenye 'personality' ya kukishikilia chama kikawa 'kimoja' among vigogo wote waliopo kwenye hicho chama kwa sasa.
Yaani unless aendelee japo kuwa 'power behind the scenes' mbele awekwe mtu wa 'parapata' na maneno makali to shake the political atmosphere,kuwa anakinukisha, vijana wanataka zaidi mtu wa kuchafua hali ya hewa every now and then jambo ambalo Mbowe haliwezi lakini na upande wa chama tawala wanatamani Mbowe atoke kabisa aachie ngazi kwa imani kwamba akitoka chama kitayakuta yaliyokikuta NCCR-Mageuzi what they've tried hard kukifanya hivyo lakini Mbowe mara zote huwa some steps ahead of them, kama wamefanikiwa ku-survive kipindi cha Mwendakuzimu wakisambaratishwa this time around utakuwa ni upuuzi uliokithiri.
Behind the scenes lazima wakae watu wa strategies, watu wenye uwezo wa kuzisoma 'dirty tactics' from miles away na ku-control sellouts the likes of Slaa, nani alitegemea alichokifanya Slaa which means angepewa uongozi back then hapa CHADEMA wala isingekuwa mjadala humu janvini, kingekuwa long gone and forgotten.
Panatakiwa aina ya mtu ambaye 'mvua inyeshe jua liwake' kamwe hauwezi kuingia CCM,yaani mtu ambaye no matter what hawezi kuingia CCM and ni wachache sana na mioyo ya watu ni vichaka nobody knows what's deep inside.
Kwa kifupi unasema Lissu ananunulika.
 
Siasa ni circus flani inayofikirisha sana, kila mtu huwa na faida na hasara zake lakini take it from me pamoja na kwamba Mbowe si mjuvi wa siasa za majukwaani lakini apart from him sioni mtu mwenye 'personality' ya kukishikilia chama kikawa 'kimoja' among vigogo wote waliopo kwenye hicho chama kwa sasa.
Yaani unless aendelee japo kuwa 'power behind the scenes' mbele awekwe mtu wa 'parapata' na maneno makali to shake the political atmosphere,kuwa anakinukisha, vijana wanataka zaidi mtu wa kuchafua hali ya hewa every now and then jambo ambalo Mbowe haliwezi lakini na upande wa chama tawala wanatamani Mbowe atoke kabisa aachie ngazi kwa imani kwamba akitoka chama kitayakuta yaliyokikuta NCCR-Mageuzi what they've tried hard kukifanya hivyo lakini Mbowe mara zote huwa some steps ahead of them, kama wamefanikiwa ku-survive kipindi cha Mwendakuzimu wakisambaratishwa this time around utakuwa ni upuuzi uliokithiri.
Behind the scenes lazima wakae watu wa strategies, watu wenye uwezo wa kuzisoma 'dirty tactics' from miles away na ku-control sellouts the likes of Slaa, nani alitegemea alichokifanya Slaa which means angepewa uongozi back then hapa CHADEMA wala isingekuwa mjadala humu janvini, kingekuwa long gone and forgotten.
Panatakiwa aina ya mtu ambaye 'mvua inyeshe jua liwake' kamwe hauwezi kuingia CCM,yaani mtu ambaye no matter what hawezi kuingia CCM and ni wachache sana na mioyo ya watu ni vichaka nobody knows what's deep inside.
Ni kwambia jambo moja tu, ccm wanaomba mungu mbowe kwa sasa aendelee kuwa mwenyekiti cdm, wameshamjua udhaifu wake...
 
Kwa kifupi unasema Lissu ananunulika.
Sijasema hivyo, don't put words in my mouth. Ninachosema ni NOBODY KNOWS, ni gamble which can go either way. Lissu ana charisma ya aina yake ambayo akikaa kwenye uongozi italeta upya amsha amsha lakini bado kwenye upande wa strategies na kukabiliana fitna za ki-Mafia za chinichini za chama tawala kuzikabili watu aina ya Mbowe lazima wawepo.
 
Ni kwambia jambo moja tu, ccm wanaomba mungu mbowe kwa sasa aendelee kuwa mwenyekiti cdm, wameshamjua udhaifu wake...
Never, majority ya wanaosema Mbowe kachoka atoke ni CCM pamoja na mapungufu yake yote aliyonayo.
 
Back
Top Bottom