Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 576
- 876
Just Imagine Msigwa,Heche,Lema na wenzao wangeshinda kwenye Kanda wakamuweka Mbowe mtu kati halafu Lissu akachukua Fomu nini kingetokea?
Lialia ya Msigwa,Lema na Heche na yanayoendelea kwa Lissu sasa hivi yanatafakarisha na kuleta majibu mengi sana ya kwanini Agenda ya kulamba asali ilianzishwa hapo nyuma na imeendelea kupiganiwa kwa sura ya Rushwa kwenye Chama, inaonyesha huu ulikuwa Mkakati.
Binafsi nakubali kazi na Ujasiri wa Lema,Lissu na Heche na kazi waliyoifanya katika Mageuzi na kujenga Demokrasia hapa nchini ila katika hili la kusambaratisha CHADEMA wapigania mabadiliko hawatawasamehe,nina uhakika watapotea wao na CHADEMA itaendelea kuwepo.
Binafsi nilitamani wote wabaki na vyeo vyao kama vilivyo na zaidi Heche akabidhiwe Kanda ya Serengeti waendeleze Libeneke, na Mbowe nae aambiwe abadili Siasa zake aingie kwenye Hard Politics ili kuipa pressure system ilete Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi ya ukweli, ila sikubaliani na kuchafuana na kushughulikiana.
Namuona Lissu akishindwa kumuondoa Jabali Mbowe,na Lissu nje ya CHADEMA namuona akipoteza Credibility yote aliyoijenga kwa Gharama kubwa na akienda ACT ataisha kisiasa kabisa bora akafanye mambo yake mengine.
Take it from me Watanzania wengi wanailinda CHADEMA isife ndiyo maana kuondoka kwa Magiant wengi kama Zitto,Slaa,Kaburu,Msigwa,Covid 19,Mamia ya waunga juhudi nk bado kumeiacha CHADEMA.Je Lissu atapita njia hiyohiyo?
Tutarudi hapa baadae kuonyeshana haya matokeo kama Magiant yatafanikiwa kuondoana CHADEMA
Lialia ya Msigwa,Lema na Heche na yanayoendelea kwa Lissu sasa hivi yanatafakarisha na kuleta majibu mengi sana ya kwanini Agenda ya kulamba asali ilianzishwa hapo nyuma na imeendelea kupiganiwa kwa sura ya Rushwa kwenye Chama, inaonyesha huu ulikuwa Mkakati.
Binafsi nakubali kazi na Ujasiri wa Lema,Lissu na Heche na kazi waliyoifanya katika Mageuzi na kujenga Demokrasia hapa nchini ila katika hili la kusambaratisha CHADEMA wapigania mabadiliko hawatawasamehe,nina uhakika watapotea wao na CHADEMA itaendelea kuwepo.
Binafsi nilitamani wote wabaki na vyeo vyao kama vilivyo na zaidi Heche akabidhiwe Kanda ya Serengeti waendeleze Libeneke, na Mbowe nae aambiwe abadili Siasa zake aingie kwenye Hard Politics ili kuipa pressure system ilete Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi ya ukweli, ila sikubaliani na kuchafuana na kushughulikiana.
Namuona Lissu akishindwa kumuondoa Jabali Mbowe,na Lissu nje ya CHADEMA namuona akipoteza Credibility yote aliyoijenga kwa Gharama kubwa na akienda ACT ataisha kisiasa kabisa bora akafanye mambo yake mengine.
Take it from me Watanzania wengi wanailinda CHADEMA isife ndiyo maana kuondoka kwa Magiant wengi kama Zitto,Slaa,Kaburu,Msigwa,Covid 19,Mamia ya waunga juhudi nk bado kumeiacha CHADEMA.Je Lissu atapita njia hiyohiyo?
Tutarudi hapa baadae kuonyeshana haya matokeo kama Magiant yatafanikiwa kuondoana CHADEMA