Kwa kinachoendelea ni dhahiri kulikuwa na mipango ya kumuondoa Mbowe CHADEMA sema Mwamba alistuka mapema

Comment hii ingelisomwa na walamba viatu pamoja na machawa wote wa Ccm, hakika ujinga, utetezi na ubishi wa kipumbaf kutetea 'chama zee' kungelipungua sana na watu wangelibadishana mawazo kistaarabu.
 
Aliyekutuma hajakuandikia vizuri au ulisimuliwa ukasahau ulivyosimuliwa
 
Sawa, kwani mbowe asipokuwa mwenyekiti anatoka chadema? Kukipambania chama sio lazima awe mwenyekiti tu, anaweza pewa kazi mahususi ndani ya chama na mambo yakaenda
 
Sawa, kwani mbowe asipokuwa mwenyekiti anatoka chadema? Kukipambania chama sio lazima awe mwenyekiti tu, anaweza pewa kazi mahususi ndani ya chama na mambo yakaenda
Si lazima awe mwenyekiti la hasha, kama wenyewe wamekubaliana aachie bodi it's well and good ila wamuweke karibu kwenye upande wa mikakati, kuongoza chama si siasa za majukwaani tu bali mikakati na fitna za chinichini huwa ndiyo nyingi zaidi ambazo watu tulio nje ya mifumo ya kisiasa huwa hatuzioni. Umeona mbinu iliyoiua CUF? Lipumba alikubali kununulika akakiua chama kilaini kabisa and that's how CCM operates.
 
Wanaotetea Mbowe abaki kama mwenyekiti mnakidogosha CHADEMA kuwa hakifai kuchukua dola kwa vile hakina watu makini isipokuwa Mbowe tu.

Kwa hili wachaga mnaonyesha ujinga wa kiwango cha lami.

Ukabila na uzezeta.
 
Natamani kuona Lissu, Heche na Lemma wakijiunga na CCM ili Mbowe tuone kama atalamba tena asali kwa chama Cha level ya CUF au TLP
Hivi unamuona Lissu ni mpumbavu wa kuweza kuunga juhudi za genge ambalo lilitaka kumtoa uhai? Kwa Lemma siwezi kumsemea lakini Lissu na Heche kwenda CCM ni ngumu sana, na kwa taarifa yako Lissu ndiye mwenyekiti ajaye na Heche ni Katibu Mkuu ajaye, na Mbowe ataendelea kuwaepo Chadema.
 

Wapumbavu hawatakuelewa kamwe.
Binadamu wana tabia ya kukinahi jambo au kitu au mtu.

Hata mapenzi yana muda yakifikia yanafubaa. Watu wanabaki wakivumiliana tu.

Trump ni mfano alipokua madarakani wamimchoka akapumzika wakamchoka Biden wakamkumbula Trump.

Watu wana mpenda Mbowe ila wanataka mabadiliko waone kasi mpya .

Mbowe akipuuza ataua Chama.

Hivi watu hawajiulizi kuwa kwa sasa Lisu ni tishio kubwa sana kwa CCM na hawatamani agombee hata Urais c
achilia mbali uenyekiti wa chama .

Lisu ana nguvu kubwa Kiroho na kiutawala kuliko Mbowe.
Mbowe ana nguvu ya pesa sio nguvu ya kisiasa ndio maana anapigwa màkofi mpaka nyumbani kwake na UVCCM na hakuna mtu anaguswa hata kumpambania kwa kurusha hata jiwe
Tofauti na Lisu akiwa jimboni kwake ni kama mfalme japo hana pesa . Huu ni ushahidi wa kuwa na nguvu za kiroho na kiutawala na uongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…