Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gamba laini
Nyumba ndo.maisha mkuu, asamte kwa ushauri.Unataka kuanza kujenga lini mkuu?
Tulia kwanza jipange coz huwezi kuanza kazi leo na kujenga papo hapo.
Mara nyingi huwezi kutegemea mshahara katika ujenzi hivyo ni vema kufikiria kuwa na pato la ziada
Mshahara utakwezesha kukopesheka ktk saccos au taasisi za fedha kwa maendeleo binafsi ikiwemo kujenga.
Bajeti vyema matumizi yako na angalia namna utakaoyweza kuwa na kipato cha ziada pia kitakochokuwezesha kupiga hatua za kimaendeleo kwa haraka zaidi.
Kila la kheri, kama nakuona vile ulivyo na ma-plan ya kufa mtu!!
si lazima kila mtu ajenge..namshukuru mungu kwa kunipatia ajira mwaka huu, kipato changu kwa mwezi ambacho nina uhakika nacho ni 2m,je kwa kipato hiki naweza kweli kumiliki nyumba?
si lazima kila mtu ajenge..
Fanya mambo mengine ya maana kwanza.
Halafu ujenge baadae kama ikibidi
from here humu ndani hakuna atakaye kuwepo miaka 30 ijayo
so kipaumbele sio nyumba.
Kula bia.[/QUOTE
Mh..we jamaa wewe.
Namshukuru Mungu kwa kunipatia ajira Mwaka huu, kipato changu kwa mwezi ambacho nina uhakika nacho ni 2M,Je kwa kipato hiki naweza kweli kumiliki nyumba?
Mkuu si vyema kumuingiza huyu muungwana anaye anza maisha kwenye upatu design ya DECI.Mh...Hallo kipato chako ni cha kawaida sana. Sio kikubwa wala kidogo. Mpangilio wa kutimiza ndoto zako upo na utaendelea kuwepo.. Kwa 2m unaweza kujenga au usiweze kutegemea unataka nyumba ya aina gani. Chumba na sebule ni miezi kadhaa tu unajenga.
Lkn kwa nyumba std ya vyumba vitatu sebule dining jiko na toilets ita hitaji kuanzia 50 m na kuendelea.
USHAURI: USIKOPE kabisa.
Tafuta biashara ambayo unaweza unaweza kuifanya huku unaendelea na kazi. Na biashara hiyo iwe ya Network Marketing.
Google materials za network marketing utaona how it works.
Cha muhimu uchague kampuni nzuri yenye network iliyosimama. Hapo ndo unaweza kufanikisha ndoto zako kiulaini.
Ni PM no zako kwa maelekezo zaidi.
Kumiliki mali iwe nyumba, gari etc hakutegemei nini utapata, bali nini unatunza na kuwekeza.Namshukuru Mungu kwa kunipatia ajira Mwaka huu, kipato changu kwa mwezi ambacho nina uhakika nacho ni 2M,Je kwa kipato hiki naweza kweli kumiliki nyumba?
Namshukuru Mungu kwa kunipatia ajira Mwaka huu, kipato changu kwa mwezi ambacho nina uhakika nacho ni 2M,Je kwa kipato hiki naweza kweli kumiliki nyumba?