Mh...Hallo kipato chako ni cha kawaida sana. Sio kikubwa wala kidogo. Mpangilio wa kutimiza ndoto zako upo na utaendelea kuwepo.. Kwa 2m unaweza kujenga au usiweze kutegemea unataka nyumba ya aina gani. Chumba na sebule ni miezi kadhaa tu unajenga.
Lkn kwa nyumba std ya vyumba vitatu sebule dining jiko na toilets ita hitaji kuanzia 50 m na kuendelea.
USHAURI: USIKOPE kabisa.
Tafuta biashara ambayo unaweza unaweza kuifanya huku unaendelea na kazi. Na biashara hiyo iwe ya Network Marketing.
Google materials za network marketing utaona how it works.
Cha muhimu uchague kampuni nzuri yenye network iliyosimama. Hapo ndo unaweza kufanikisha ndoto zako kiulaini.
Ni PM no zako kwa maelekezo zaidi.