Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Hapo vip!!
Kwanza naomba Admin tafadhali acha ku edit kichwa cha habari cha hii thread tafadhali.
Moja kwa moja kwenye mada husika.
Kuna msemo unasema kilicho kidhaifu huiga kilicho na nguvu..au kilicho kibovu huiga kilicho boro.
Sasa kitendo cha yanga kutumia rangi nyeupe ya Simba sc ni ishara ya yanga kukubali rangi za Simba sc ni bora kuliko za kwao ni ishara ya udhaifu...
Na kuna msemo unasema akikushinda ungana nao..yanga wameamua kujiunga na Simba sc kwa upande wa rangi..kitendo hichi nisawa na kukubali kuolewa..#$Simba nguvu moja💪$#
Kwanza naomba Admin tafadhali acha ku edit kichwa cha habari cha hii thread tafadhali.
Moja kwa moja kwenye mada husika.
Kuna msemo unasema kilicho kidhaifu huiga kilicho na nguvu..au kilicho kibovu huiga kilicho boro.
Sasa kitendo cha yanga kutumia rangi nyeupe ya Simba sc ni ishara ya yanga kukubali rangi za Simba sc ni bora kuliko za kwao ni ishara ya udhaifu...
Na kuna msemo unasema akikushinda ungana nao..yanga wameamua kujiunga na Simba sc kwa upande wa rangi..kitendo hichi nisawa na kukubali kuolewa..#$Simba nguvu moja💪$#