Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Ndio imeisha hiyo😀Kwahiyo unataka uniambie bwana yanga kaozeshwa kwenye sanda...mhh!
Hapo vip!!
Kwanza naomba Admin tafadhali acha ku edit kichwa cha habari cha hii thread tafadhali.
Moja kwa moja kwenye mada husika.
Kuna msemo unasema kilicho kidhaifu huiga kilicho na nguvu..au kilicho kibovu huiga kilicho boro.
Sasa kitendo cha yanga kutumia rangi nyeupe ya Simba sc ni ishara ya yanga kukubali rangi za Simba sc ni bora kuliko za kwao ni ishara ya udhaifu...
Na kuna msemo unasema akikushinda ungana nao..yanga wameamua kujiunga na Simba sc kwa upande wa rangi..kitendo hichi nisawa na kukubali kuolewa
View attachment 3054987Rudi kwa makolo yanga tuachie yetu.
Tuoneshe hati miliki ya Simba (patent) ya Simba kumiliki rangi "nyeupe".Hapo vip!!
Kwanza naomba Admin tafadhali acha ku edit kichwa cha habari cha hii thread tafadhali.
Moja kwa moja kwenye mada husika.
Kuna msemo unasema kilicho kidhaifu huiga kilicho na nguvu..au kilicho kibovu huiga kilicho boro.
Sasa kitendo cha yanga kutumia rangi nyeupe ya Simba sc ni ishara ya yanga kukubali rangi za Simba sc ni bora kuliko za kwao ni ishara ya udhaifu...
Na kuna msemo unasema akikushinda ungana nao..yanga wameamua kujiunga na Simba sc kwa upande wa rangi..kitendo hichi nisawa na kukubali kuolewa
View attachment 3054987
Sijuhi nicommentHapo vip!!
Kwanza naomba Admin tafadhali acha ku edit kichwa cha habari cha hii thread tafadhali.
Moja kwa moja kwenye mada husika.
Kuna msemo unasema kilicho kidhaifu huiga kilicho na nguvu..au kilicho kibovu huiga kilicho boro.
Sasa kitendo cha yanga kutumia rangi nyeupe ya Simba sc ni ishara ya yanga kukubali rangi za Simba sc ni bora kuliko za kwao ni ishara ya udhaifu...
Na kuna msemo unasema akikushinda ungana nao..yanga wameamua kujiunga na Simba sc kwa upande wa rangi..kitendo hichi nisawa na kukubali kuolewa
View attachment 3054987
Kama ni hivo na nyie mmeolewa na azam fcHapo vip!!
Kwanza naomba Admin tafadhali acha ku edit kichwa cha habari cha hii thread tafadhali.
Moja kwa moja kwenye mada husika.
Kuna msemo unasema kilicho kidhaifu huiga kilicho na nguvu..au kilicho kibovu huiga kilicho boro.
Sasa kitendo cha yanga kutumia rangi nyeupe ya Simba sc ni ishara ya yanga kukubali rangi za Simba sc ni bora kuliko za kwao ni ishara ya udhaifu...
Na kuna msemo unasema akikushinda ungana nao..yanga wameamua kujiunga na Simba sc kwa upande wa rangi..kitendo hichi nisawa na kukubali kuolewa
View attachment 3054987
kilicho kidhaifu huiga kilicho na nguvu..au kilicho kibovu huiga kilicho boro.
Simba ilikuwepo kama hata aliyeanzisha Azam hajazaliwa..maana yake Azam ndio anaiga kila kitu kwa aliyemkuta..pia Azam ni mtoto wa Simba sc..kuna vitu lazima viendaneKama ni hivo na nyie mmeolewa na azam fc
Lazima tuwaoe mmetusumbua sana kwenye mahari sasa mmekuja wenyewe hamna namna.zwazwa ni zwazwa tu
😀😀😀sasa hivi nakuchapa mtani..nimejipanga kisawa sawa..subiriTukutane tar 8 mkuu
Hoja za kishamba... Mkifungwa mnaanza kulialiaHapo vip!!
Kwanza naomba Admin tafadhali acha ku edit kichwa cha habari cha hii thread tafadhali.
Moja kwa moja kwenye mada husika.
Kuna msemo unasema kilicho kidhaifu huiga kilicho na nguvu..au kilicho kibovu huiga kilicho boro.
Sasa kitendo cha yanga kutumia rangi nyeupe ya Simba sc ni ishara ya yanga kukubali rangi za Simba sc ni bora kuliko za kwao ni ishara ya udhaifu...
Na kuna msemo unasema akikushinda ungana nao..yanga wameamua kujiunga na Simba sc kwa upande wa rangi..kitendo hichi nisawa na kukubali kuolewa..#$Simba nguvu moja💪$#
View attachment 3054987
Simba hata akitaka kubadili rangi sijui third kit hawezi hata Kwa sababu yoyote ile kugusa njano au kijani. Vivyo hivyo Kwa Yanga hapo zamani.Mbumbumbu wanazidi kuongezeka kwa hio 5imba timu pekee inatumia rangi nyeupe? Majitu kama haya unashindwa kuwaletea Manzoki kwenye uchaguzi?
Yale matenge?😂Hakuna watu wamepagawa na Jezi kama wazee wa UBAYA UBWEGE 😹😹😹