Kibiriti ngoma
Member
- Feb 9, 2024
- 42
- 80
Danadana sio dandanAloo uskute hata dandan hujui.
Ahmed Ally atakuja kuwapasua vifua.Habari wadau, nawatazamaga hawa jamaa wawili strikers wa simba sc, hata siwaelewi, kipindi hiki tunakuwaje na viongozi wa kubahatisha kwa upande wa uteuzi wa wachezaji!!! Unawezaje kutuaminisha fred na jobe na proffessional players ilhali kiwango chao ni zero? Hapana, hapa tumepigwa na kitu chepesi, ingekuwa kitu kizito tungesema tumekata motona kukata kauli, lakini hata mtoto wa nursery anaona vitimbi wa hawa jamaa, viongozi, Mungu anawaona. Mjitafakari kabla ya mambo hayajazidi kuharibika.
Hivi ni nani aliesajili hawa watu? Unajua ni mambo ya kushangaza sana!Habari wadau, nawatazamaga hawa jamaa wawili strikers wa simba sc, hata siwaelewi, kipindi hiki tunakuwaje na viongozi wa kubahatisha kwa upande wa uteuzi wa wachezaji!!! Unawezaje kutuaminisha fred na jobe na proffessional players ilhali kiwango chao ni zero? Hapana, hapa tumepigwa na kitu chepesi, ingekuwa kitu kizito tungesema tumekata motona kukata kauli, lakini hata mtoto wa nursery anaona vitimbi wa hawa jamaa, viongozi, Mungu anawaona. Mjitafakari kabla ya mambo hayajazidi kuharibika.