Kwa kiwango hiki cha ubora wa copy nimewmini mchina akiamua anaweza

Kwa kiwango hiki cha ubora wa copy nimewmini mchina akiamua anaweza

Mbute na chai

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2012
Posts
564
Reaction score
593
Habarini waungwana. Leo nimekubali kuwa Mchina siyo mtu.

Jamaa yangu kanunua Apple Airpods Pro 2gen (ambayo ni premium copy) kwa tshs 90,000/=, aise, ina sound quality ya hatari hadi nimejuta kwanini nilijilipua kununua Airpods Tshs 630,000/= kutoka elite computers.

Kwa kiwango hiki cha ubora wa copy nimewmini mchina akiamua anaweza.
 
Habarini waungwana. Leo nimekubali kuwa Mchina siyo mtu.

Jamaa yangu kanunua Apple Airpods Pro 2gen (ambayo ni premium copy) kwa tshs 90,000/=, aise, ina sound quality ya hatari hadi nimejuta kwanini nilijilipua kununua Airpods Tshs 630,000/= kutoka elite computers.

Kwa kiwango hiki cha ubora wa copy nimewmini mchina akiamua anaweza.
Fake hiyo...
 
Habarini waungwana. Leo nimekubali kuwa Mchina siyo mtu.

Jamaa yangu kanunua Apple Airpods Pro 2gen (ambayo ni premium copy) kwa tshs 90,000/=, aise, ina sound quality ya hatari hadi nimejuta kwanini nilijilipua kununua Airpods Tshs 630,000/= kutoka elite computers.

Kwa kiwango hiki cha ubora wa copy nimewmini mchina akiamua anaweza.
Aya wakupe control number ulipie Tangazo
 
Habarini waungwana. Leo nimekubali kuwa Mchina siyo mtu.

Jamaa yangu kanunua Apple Airpods Pro 2gen (ambayo ni premium copy) kwa tshs 90,000/=, aise, ina sound quality ya hatari hadi nimejuta kwanini nilijilipua kununua Airpods Tshs 630,000/= kutoka elite computers.

Kwa kiwango hiki cha ubora wa copy nimewmini mchina akiamua anaweza.

Mchina sio mtu kumbe ni Ntutu
 
Habarini waungwana. Leo nimekubali kuwa Mchina siyo mtu.

Jamaa yangu kanunua Apple Airpods Pro 2gen (ambayo ni premium copy) kwa tshs 90,000/=, aise, ina sound quality ya hatari hadi nimejuta kwanini nilijilipua kununua Airpods Tshs 630,000/= kutoka elite computers.

Kwa kiwango hiki cha ubora wa copy nimewmini mchina akiamua anaweza.
Na ikikufa baada ya wiki 2 pia usisahau kupandisha uzi,mchina konyo 🤣🤣.
 
Back
Top Bottom